Hii Simba SC inapikwa nyiee! Fadlu Davids: Tulikipata kikosi tukiwa hata siyo sifuri, bali hasi -5. Haya ni 'Maendeleo'

Hii Simba SC inapikwa nyiee! Fadlu Davids: Tulikipata kikosi tukiwa hata siyo sifuri, bali hasi -5. Haya ni 'Maendeleo'

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Miezi mitatu iliyopita, Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, aliweka wazi kuwa kikosi chake hakikuwa kimefikia kiwango cha ushindani asilimia 100. Alipoulizwa hivi karibuni kuhusu maendeleo ya timu kwa neno moja, jibu lake lilikuwa "MAENDELEO."

Akizungumza kwa kina, Davids amesema:

"Tulikipata kikosi tukiwa hata siyo sifuri, bali hasi -5. Hii ilitokana na wachezaji waliokuwa nje ya mazoezi kwa wiki nane, huku wengine wakiwa na changamoto kubwa katika maandalizi ya msimu mpya. Tulianza taratibu na kwa hatua kwa hatua tukajenga utimamu wa mwili sambamba na misingi ya aina ya uchezaji ninaoutaka.

"Uchezaji wetu unahitaji ukali mkubwa, nguvu nyingi, kukaba kwa ustadi, na kushambulia wapinzani bila kuchoka. Hatuna budi kuwa na misingi imara ya kimchezo ili kufanikisha haya yote. Kutoka siku ya kwanza hadi sasa, tumepiga hatua kubwa. Hata hivyo, bado hatujafikia uwezo kamili wa kikosi, lakini tunaendelea kwa mwelekeo sahihi."
Bila shaka Mashabiki wa Lunyasi mnaendelea kushuhudia hatua za kujengwa kwa kikosi chenye ushindani wa hali ya juu msimu huu au mnasemaji?

Video: dicksonjackson
 
Ao wachezaji ata ake nao miaka mitano hakuna kitakacho ongezeka, icho wanacho toa Sasa ndio uwezo wao wa juu.
Tafuteni wachezaji wa maana ili malalamiko na mambo ya kuhamia Burundi yapungue.
 
Ao wachezaji ata ake nao miaka mitano hakuna kitakacho ongezeka, icho wanacho toa Sasa ndio uwezo wao wa juu.
Tafuteni wachezaji wa maana ili malalamiko na mambo ya kuhamia Burundi yapungue.
Wachezaji ambao unawaona wewe hawana cha kuongeza, kumbuka ufikirio wako ni tofauti na uongozi wako wa Club yako.

Wachezaji asilimia kubwa wote ambao nyinyi mashabiki mliwasema kuwa wamechoka, tulipoachana nao karibia wote wamesajiliwa kwenu.

Kwa hiyo from there hatuwezi tena kuyachukulia serious maoni yenu kuhusu negative thought dhidi ya wachezaji wetu.

Otherwise tukubaliane kuwa Club yenu kulingana na daraja lake kuwa ni la chini imejikuta ikiangukia kupata wachezaji waliochoka (rejected) kwasababu ndio hadhi yake.
 
Sajilini wachezaji wa maana matokeo yatapatikana ata mcheze juu ya mawe.
Kocha ana timu zaidi ya miezi 4 lakini ipo pale pale mwishowe mna mlalamikia GSM na kutaka kwenda Burundi.
 
Sajilini wachezaji wa maana matokeo yatapatikana ata mcheze juu ya mawe.
Kocha ana timu zaidi ya miezi 4 lakini ipo pale pale mwishowe mna mlalamikia GSM na kutaka kwenda Burundi.
nyinyi mna wachezaji gan wa maana zaid ya wavuta shisha na walevi...[emoji706][emoji706][emoji706] Kila mtu ashinde mechi zake tuone mwisho wa msimu mwenye wachezaji walevi na wabwia masindano na wachezaji ambao sio wa maana nani atakua bingwa.
 
nyinyi mna wachezaji gan wa maana zaid ya wavuta shisha na walevi...[emoji706][emoji706][emoji706] Kila mtu ashinde mechi zake tuone mwisho wa msimu mwenye wachezaji walevi na wabwia masindano na wachezaji ambao sio wa maana nani atakua bingwa.
Wachezaji wa maana ni wale wanao Mkanda mpinzani wake wa jadi muda na saa yoyote, mahali popote na si ku yoyote na kutwaa vikombe vyote.

Kwasasa Ndugu mbumbumbu Ubingwa utaendelea tu kusubiri mpaka mtakapo kua na Adabu na Nidhamu ya usajili.
Mkiendelea kupuyanga kama mnavyo puyanga Sasa, Mpaka mtahamia Burundi Ubingwa mtaendelea ku usikia tu.
 
Wachezaji wa maana ni wale wanao Mkanda mpinzani wake wa jadi muda na saa yoyote, mahali popote na si ku yoyote na kutwaa vikombe vyote.

Kwasasa Ndugu mbumbumbu Ubingwa utaendelea tu kusubiri mpaka mtakapo kua na Adabu na Nidhamu ya usajili.
Mkiendelea kupuyanga kama mnavyo puyanga Sasa, Mpaka mtahamia Burundi Ubingwa mtaendelea ku usikia tu.
Unaumia toka wapi ndugu zuzu...
Usajili wenu ndo mzuri wa Dube striker butu
Au wa boka mwana riadha..
 
Unaumia toka wapi ndugu zuzu...
Usajili wenu ndo mzuri wa Dube striker butu
Au wa boka mwana riadha..
Ao wote ulio wataja kwenye maeneo wanayo cheza hakuna mchezaji yoyote wa Simba anaye karibia Daraja la ubora(class) walilonalo.

Tuta endelea kuwa Kanda mpaka mtakapo hamia Burundi.
 
Ao wote ulio wataja kwenye maeneo wanayo cheza hakuna mchezaji yoyote wa Simba anaye karibia Daraja la ubora(class) walilonalo.

Tuta endelea kuwa Kanda mpaka mtakapo hamia Burundi.
Utopwinyo😃😄😀

Kila siku mkifanya jambo lazima mseme kwa kuwa mmeifunga Simba mara nne.

Mtafungwa na MC Alger ila mtakuja hapa tena kusema mmeifunga Simba mara nne😀😃

Hilo nalo mpaka Jakaya aseme mliache maana ni uboya?
 
Wachezaji wa maana ni wale wanao Mkanda mpinzani wake wa jadi muda na saa yoyote, mahali popote na si ku yoyote na kutwaa vikombe vyote.

Kwasasa Ndugu mbumbumbu Ubingwa utaendelea tu kusubiri mpaka mtakapo kua na Adabu na Nidhamu ya usajili.
Mkiendelea kupuyanga kama mnavyo puyanga Sasa, Mpaka mtahamia Burundi Ubingwa mtaendelea ku usikia tu.
Na pia muache kuwachoma sindano za kuzuia mimba maana mnawachoma wanaishia kuzinzia uwanjani
NB naomba kwenye mechi za kimataifa niwe mzalendo nawaombea UTOPOLO lolote liwakute.
 
Wachezaji wa maana ni wale wanao Mkanda mpinzani wake wa jadi muda na saa yoyote, mahali popote na si ku yoyote na kutwaa vikombe vyote.

Kwasasa Ndugu mbumbumbu Ubingwa utaendelea tu kusubiri mpaka mtakapo kua na Adabu na Nidhamu ya usajili.
Mkiendelea kupuyanga kama mnavyo puyanga Sasa, Mpaka mtahamia Burundi Ubingwa mtaendelea ku usikia tu.
Baada ya kubumburuka hilo la masindano mnayowadunga hao wazee wenu ili kuwaongeza nguvu msitegemee tena kumfunga simba wala kubeba ubingwa wowote. Na kesho huko Algeria mnakandwa tena.
 
Utopwinyo😃😄😀

Kila siku mkifanya jambo lazima mseme kwa kuwa mmeifunga Simba mara nne.

Mtafungwa na MC Alger ila mtakuja hapa tena kusema mmeifunga Simba mara nne😀😃

Hilo nalo mpaka Jakaya aseme mliache maana ni uboya?
Simba tunawakumbusha tu kua sisi Yanga ni level nyingine kabisa kwao maana ndiye anaye taka kujilinganisha na Yanga.

Apa ndani tunamzidi vikombe vyote, Uko nje Bado hatuna la kujivunia ila msimu huu wa CAF 24/25 tunakwenda kutwaa Ubingwa na Kuanza safari yetu ya mafanikio Afrika.
Kwa apa ndani Namba zetu za vikombe zinatisha na kwasasa tuna Cement tu.
 
Ao wote ulio wataja kwenye maeneo wanayo cheza hakuna mchezaji yoyote wa Simba anaye karibia Daraja la ubora(class) walilonalo.

Tuta endelea kuwa Kanda mpaka mtakapo hamia Burundi.
Utopolo inaondoa akili zote.
Nani ahamame? Kama hamjahama nyie utopwenga kwa.. Tabora..Azam na Alhilal kuwashenyenta basi jua tupo sana hahaa.
 
Ao wachezaji ata ake nao miaka mitano hakuna kitakacho ongezeka, icho wanacho toa Sasa ndio uwezo wao wa juu.
Tafuteni wachezaji wa maana ili malalamiko na mambo ya kuhamia Burundi yapungue.
Mwakani Singida Black stars watamsajili Offen Chikola
 
Back
Top Bottom