Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kada yoyote wa CCM kumwamini utakuwa na ugonjwa wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mental illness is so real!! Sasa hiyo simu na hadhi vinahusiana nini? Nchi ina mipumbavu hii sijai ona!!
Nimeona hii taarifa kwenye ukurasa wa CCM, mimi kilichonivutia ni hiyo simu ya Mzee Makamba, ni kweli kwa hadhi yake anamiliki simu ya aina hiyo au imewekwa hapo kimkakati tu kuonesha jambo fulani?
== == ===
DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam.
Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kumtakia heri kwenye majukumu hayo mapya, Mzee Makamba amemzawadia Balozi Dk. Nchimbi shati moja la sare ya Chama Cha Mapinduzi, ikiwa ni ishara ya kifaa cha kazi, ambapo Katibu Mkuu huyo wa CCM, alipokea pongezi na kumshukuru kwa zawadi hiyo.
Hatuna kazi mkuu, tupotupo ndo tatizo lilipoanzia.Kwa akili hata za Chekechea unadhani huyo mzee wa kujivua gamba hana smart phone ya maana?
Mtu alikuwa na nyadhifa kibao.
Pia ana watoto kibao wenye nyadhifa na pesa leo unakuja kuanzisha uzi kwa swali la kindezi grow up dogo..?!?!
Satelite phone hiyo
Nimeona hii taarifa kwenye ukurasa wa CCM, mimi kilichonivutia ni hiyo simu ya Mzee Makamba, ni kweli kwa hadhi yake anamiliki simu ya aina hiyo au imewekwa hapo kimkakati tu kuonesha jambo fulani?
== == ===
DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu Wastaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Jumatatu, Aprili 1, 2024, nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam.
Akimpongeza kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kumtakia heri kwenye majukumu hayo mapya, Mzee Makamba amemzawadia Balozi Dk. Nchimbi shati moja la sare ya Chama Cha Mapinduzi, ikiwa ni ishara ya kifaa cha kazi, ambapo Katibu Mkuu huyo wa CCM, alipokea pongezi na kumshukuru kwa zawadi hiyo.
True1. Anaweza kuwa ana simu nyingi 2. Anaweza kuwa hataki kutumia smartphone kwa sababu amepitwa na wakati 3. Simu anayomiliki mtu haina uhusiano na kipato au hadhi yake. Kuna sababu nyingi...
Tafuteni hata mashangazi wawelee,mwisho wa siku mtaangukia kupiga nyeto kwa fujo mpate magonjwa ya akili bure.Hatuna kazi mkuu, tupotupo ndo tatizo lilipoanzia.