Hii simu ni ya Mzee Yusuf Makamba kweli au wanazuga tu?

Mental illness is so real!! Sasa hiyo simu na hadhi vinahusiana nini? Nchi ina mipumbavu hii sijai ona!!
 
Kumbe mzee Yusufu Makamba ni mzaliwa wa Dar! Nchi imeendelea sasa yeye anakimbia nini kwao huko Bumburi!
 
Kwa akili hata za Chekechea unadhani huyo mzee wa kujivua gamba hana smart phone ya maana?
Mtu alikuwa na nyadhifa kibao.
Pia ana watoto kibao wenye nyadhifa na pesa leo unakuja kuanzisha uzi kwa swali la kindezi grow up dogo..?!?!
Hatuna kazi mkuu, tupotupo ndo tatizo lilipoanzia.
 
Satelite phone hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…