DOKEZO Hii sio haki, Haiwezekeni eneo langu ligundulike kuwa na madini halafu serikali inipangie bei ya kuuza eneo langu na inakuwa ni Amri sio ombi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tena hiyo umezidishiwa,Huwa ni laki 5 kwa hekar moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…