Hii sio Haki, Wakati kondeboy akikunja mil 25, Rastaman yeye anakula mil 4

Hii sio Haki, Wakati kondeboy akikunja mil 25, Rastaman yeye anakula mil 4

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Pamoja na juhudi zote anazozionesha uwanjani, Rastamani analamba 4m tu, ila yule mmakonde ambaye anasugua benchi analamba mil 25..

Rastaman ameona mchango wake hauthaminiwi hivyo kaamua kusinya upande wa pili.

Ubuntu botho[emoji23][emoji23]
 
Mwamba ananyonywa sana aisee, wachambuzi wa haki za wachezaji inabidi waingilie kati
 
Mtu anayesugua benchi anapata zaidi ya mara 6 ya mshahara wa mvuja jasho mkuu wa timu? Hii kitaalam tunaitaje wakuu?
 
Pamoja na juhudi zote anazozionesha uwanjani, Rastamani analamba 4m tu, ila yule mmakonde ambaye anasugua benchi analamba mil 25..

Rastaman ameona mchango wake hauthaminiwi hivyo kaamua kusinya upande wa pili.

Ubuntu botho[emoji23][emoji23]
Kikubwa kama huo upande atapata zaidi asepe tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom