Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Tegemeo kwenye kipi mkuu mm ni mwana simba lakini sasahv sijaona mchango wake kwa nafasi yake i say kwa nafasi yake ila konde ni mchezaji mzuri sio kwa ku create chance au kufunga ila hapati nafasi mkuu jarbu kuushirikisha ubongo kabla hujachangia hojaUna mtindio wa ubongo? Mchezaji asiye na mchango kwenye timu anakuwaje na thamani kuliko mchezaji tegemeo wa timu? Football is all about present achana na historia