Hii sio Haki, Wakati kondeboy akikunja mil 25, Rastaman yeye anakula mil 4

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Pamoja na juhudi zote anazozionesha uwanjani, Rastamani analamba 4m tu, ila yule mmakonde ambaye anasugua benchi analamba mil 25..

Rastaman ameona mchango wake hauthaminiwi hivyo kaamua kusinya upande wa pili.

Ubuntu botho[emoji23][emoji23]
 
Kibu Denga Wakati anatoka Mbeya City alikuwa mchezaji wa kawaida sana tena iyo hela ilikuwa ni nyingi sana sema viongozi wa Simba nao wamefeli kwa kushindwa kukaa nae mezani kuboresha mkataba wake
 
Mwamba ananyonywa sana aisee, wachambuzi wa haki za wachezaji inabidi waingilie kati
 
Mtu anayesugua benchi anapata zaidi ya mara 6 ya mshahara wa mvuja jasho mkuu wa timu? Hii kitaalam tunaitaje wakuu?
 
Pamoja na juhudi zote anazozionesha uwanjani, Rastamani analamba 4m tu, ila yule mmakonde ambaye anasugua benchi analamba mil 25..

Rastaman ameona mchango wake hauthaminiwi hivyo kaamua kusinya upande wa pili.

Ubuntu botho[emoji23][emoji23]
Kikubwa kama huo upande atapata zaidi asepe tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…