Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kama liverpool hamna pesa unamlaumu nani?Za wikendi wadau,
Yanii Lukaku anamzidi Salah kwa mshahara no way. Haiwezekani Salah alipwe Pauni elfu 90 kwa wiki hii haingii akilini kabisa. Eti Pogba naye anamzidi Salah kwa mshahara. Eti de gea naye. Eti sterling naye, etide bryune naye. SALAH ANATAKIWA ALIPWE PAUNI LAKI SITA KWA WIKI.
liverpool acheni mchezo eti sasa hivi wanataka kumuongezea Salah mshahara awe akilipwa pauni laki mbili kwa wiki. Iyo ni kidogo aileti uhiano na mantiki bana. Kuna kaubaguzi flani EPL.
View attachment 766875
Kama mna pesa mlipeni vizur.. kama hamna pesa endeleeni hivyo.hivyo... real wamchukue wampe na mpango wa maana.