Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Maza alisema anazo taarifa Kuna baadhi ya maofisa wa polisi WANACHUKUA mafuta, hakusema WANAIBA mafuta.
Anazo taarifa hadi namba za magari yanayokunywa mafuta hayo,
Tuanzie Hapo Kwenye mafuta kuchukuliwa? Matumizi ya hayo mafuta yanajulikana sasa kwanini aseme mafuta yanachukuliwa?
Itakuwa hataki kusema mafuta yanaibiwa ili hao maofisa wa polisi wasionekane wezi na wasiwe na kesi ya kujibu.
Kulikuwa Kuna ulazima gani wa kuongelea swala la mafuta ya polisi kutumika Kwenye daladala Kama hakuna hatua zilizo chukuliwa?
Mafuta yaliyo chukuliwa ni lita ngapi? Yamesharudishwa?
Hao maofisa wanaochukua mafuta hayo ni wakina nani? Jibu sahihi maza atusaidie.
Anazo taarifa hadi namba za magari yanayokunywa mafuta hayo,
Tuanzie Hapo Kwenye mafuta kuchukuliwa? Matumizi ya hayo mafuta yanajulikana sasa kwanini aseme mafuta yanachukuliwa?
Itakuwa hataki kusema mafuta yanaibiwa ili hao maofisa wa polisi wasionekane wezi na wasiwe na kesi ya kujibu.
Kulikuwa Kuna ulazima gani wa kuongelea swala la mafuta ya polisi kutumika Kwenye daladala Kama hakuna hatua zilizo chukuliwa?
Mafuta yaliyo chukuliwa ni lita ngapi? Yamesharudishwa?
Hao maofisa wanaochukua mafuta hayo ni wakina nani? Jibu sahihi maza atusaidie.