Jaman kulngana na heslb wanasema kua hii amount wanalpa kama sisahau haizidi 150,000/= sasa haka chuo changu naona wameijumuisha hapo wataalamu nchakachulien.
Inategemea na kozi unayosomea,kuna kozi nyingine zinazo wakati nyingine hazina...ni kwa ajili ya kununulia vifaa mbalimbali eg.makoti ya kufanyia practical etc,na correction kidogo kwenye heading yako ni 'faculty' na sio 'fucaty'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.