Domo Ana gubu ndo maana hanenepi ,anachamba zar snasubiri, hapa kati alipendeza vzur tu cjui mganga gan kamwambia akisuka vile atamfikia Chris brown, kumbe kawa kituko ptuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila Dai ni pesa tu imemtakatisha jamani lakini bado.
Dai huwa anapendeza hasa akivaa suti zake za speshoz na akinyoa.Domo Ana gubu ndo maana hanenepi ,anachamba zar snasubiri, hapa kati alipendeza vzur tu cjui mganga gan kamwambia akisuka vile atamfikia Chris brown, kumbe kawa kituko ptuuu
Kuna vtu hajazijulia aisee either hata diet nzuri maybe ila hi style hapana[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila Dai ni pesa tu imemtakatisha jamani lakini bado.
Zari ni mjanja na ili kukwepa maneno akamwambia dai amnunulie nyumba south ila acha atumie fursa hata chibu akifulia yeye ana nyumba ya kukaa na wale watoto.Zari unadhan anabebaga mimba bila mpangilio, kaona fursa, binamu Lulu nae nasikia Ana tumbo? Hatak ujinga na yy anataka urithi wa milele
Picha iko wapiJsmani mie kama sijaelewa hi I style mpya ya baba ake wa kambo na diamond, ommy dimpozs, yani hizo nywele hazijampendeza kabisa, yupo ka Fido Fido, sujui nsni alimshauri
Bora ajitengenezee maisha, maana elimu hana na bongo movie hailipi, mchaga hatak ujinga, ila asijione mke wa trump mobeto nae alipitia kama yyZari ni mjanja na ili kukwepa maneno akamwambia dai amnunulie nyumba south ila acha atumie fursa hata chibu akifulia yeye ana nyumba ya kukaa na wale watoto.
Hata mi niliskia lulu mama kijacho maana hata ukimuangalia usoni kajaa jaa, acha tu ajitulize ka amempata ampendaye asije kuishia ka Wema sepetu.
Dai huwa anapendeza hasa akivaa suti zake za speshoz na akinyoa.
Hii style ya sasa hapana kwakweli
Lulu si alikua anasoma magogoni au aliacha, ila ukute majizo ana nyota ya kuzalisha na Ku acha, ila Lulu ana akili bana kawazidi bongo movie wengi Ku miliki nyumba mbili si mchezo.Bora ajitengenezee maisha, maana elimu hana na bongo movie hailipi, mchaga hatak ujinga, ila asijione mke wa trump mobeto nae alipitia kama yy
Sijakuelewa hapo kwenye "lips" lips zinapakwa kumbe[emoji15] [emoji15] [emoji15]isho boy umeongea critical point .
ata yeye lips alizo paka kaiga[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji108] [emoji115]
Kweli suti humtoa sanaDai huwa anapendeza hasa akivaa suti zake za speshoz na akinyoa.
Hii style ya sasa hapana kwakweli
Hahaaaaaaa jamani hata kukosa tuzo kumechangia jinsi alivoDomo Ana gubu ndo maana hanenepi ,anachamba zar snasubiri, hapa kati alipendeza vzur tu cjui mganga gan kamwambia akisuka vile atamfikia Chris brown, kumbe kawa kituko ptuuu
[emoji23] [emoji23] povu limekutoka haswaaWe team kupumuliwa na ww nin? Ndo maana halisi ya Kuwa msanii. There should be something of his to talk about. Mind it be good or bad as long as his name keeps reappearing in your conversations. Ulitaka anyoe low cut kama mabank teller? Husisha ubongo blaza
Umeonaaee binamu afu na 3600 inamsaidia usoni ana michunusi balaaNahel mwenzie handsome ana sura, sasa mwenzangu na mm uso kama tumbili katisha na hv kakonda uson kama Ana utapiamlo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii style dai amekuwa ka nguchiro au sungura mjanja inachekesha kweli.
Mwambieni huyo msanii wenu sio kila kitu anaweza kuiga yaani huu mwonekano umemchukiza bora angebaki na kiduku chake tu, mbona rayvan mashabiki walimwambia na akanyoaBibie hakuna kitu kipya chini ya jua vyote tunavikuta......ukiamua kufuga rasta au afro au unyoe nywere zote au unyoe kiduku kuna pipo kibao washafanya ayo mambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nahel mwenzie handsome ana sura, sasa mwenzangu na mm uso kama tumbili katisha na hv kakonda uson kama Ana utapiamlo
[emoji23] [emoji23] Soudy alisema eti zile nywele ndiyo zilikua zinampelekea diamond kutokwa povuUlimsikia sudy alivyosema? Domo style yake mpya imemfanya awe mcharuko, nywele zimechomoza kama miba ya ikulu, yan ukimuona huwez kumlaumu maneno aliyokua akitoa kwa dimpoz, naana mtu mwenyewe kituko
Hebu jionee mwenyewe kwakweliPicha iko wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Weeeeee hata usijaribu kabisa.Usiponde sana basi..
Mwezi ujao nataka kichwani nitupie style ya nywele kama ya Chibu [emoji4]