Hii taadhari itakusaidia: Ubongo wako hauwezi kutofautisha kama unaigiza unatania au uko siriasi

Hii taadhari itakusaidia: Ubongo wako hauwezi kutofautisha kama unaigiza unatania au uko siriasi

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Hii ni moja ya taarifa sahihi ambayo unapaswa kuitumia kwenye maisha..

Ukipenda kuigiza unakufakufa, au mchawi au kufanya drama za mizaha ubongo wako hauwezi kutofautisha na pale unapokuwa siriasi.

Ndio maana Mungu anakemea mizaha.
Zaburi 1:1
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Hakikisha hata ukitania utanie kwa kumaanisha maana yatakutokea.

Kqma ukiigiza, igiza kwa taadhari na kwa mipaka usije ukavaliwa na hayo unayoigiza.

Ni hayo tu.


Mtumishi, Matunduizi
 
Nimetoka kapa
Ubongo wako hauwezi kutofautisha kama wakati huu unatania au uko siriasi. Unaigiza au unamaanisha.

Hivyo wenyewe utaona zote ni taarifa sahihi na unamaanisha. Hii inapaswa kutusaidia kuchagua vitu vya kufanyia utani, mizaha na maigizo maana vinaweza kukupata kwenye uhalisia.
 
Hii ni moja ya taarifa sahihi ambayo unapaswa kuitumia kwenye maisha..

Ukipenda kuigiza unakufakufa, au mchawi au kufanya drama za mizaha ubongo wako hauwezi kutofautisha na pale unapokuwa siriasi.

Ndio maana Mungu anakemea mizaha.
Zaburi 1:1
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Hakikisha hata ukitania utanie kwa kumaanisha maana yatakutokea.

Kqma ukiigiza, igiza kwa taadhari na kwa mipaka usije ukavaliwa na hayo unayoigiza.

Ni hayo tu.


Mtumishi, Matunduizi
Sahihi kabisa!
 
Nimetoka kapa
Anamaanishi hivi, kwa mfano, kama tutasema "ninahisi nina amiba", japo unajua kabisa huna, ubongo wako u aweza kuamini huo "uongo " na hatimaye mwili kuishiwa kuhisi unaumwa.

Ama utajihisi unaumwa au ubongo itakusaidia kupata amiba ili "unabii" uliojitabiria utimie.

Kwa hiyo, ni bora utanie umenunua Mercedes Benz G wagon ili kama huo "unabii" utatimia iwe faida kwako.
 
Anamaanishi hivi, kwa mfano, kama tutasema "ninahisi nina amiba", japo unajua kabisa huna, ubongo wako u aweza kuamini huo "uongo " na hatimaye mwili kuishiwa kuhisi unaumwa.

Ama utajihisi unaumwa au ubongo itakusaidia kupata amiba ili "unabii" uliojitabiria utimie.

Kwa hiyo, ni bora utanie umenunua Mercedes Benz G wagon ili kama hui "unabii" utatimia iwe faida kwako.
Basi kuanzia Leo nitakuwa tajiri wa Mali kesho... Yani lazima niwe tajiri kumzidi moo wa simba
 
Back
Top Bottom