Hii tabia Musoma inakera sana

Wadada sioni tatizo, ila kwa mtoto wa kiume na nguvu zako unaenda sehemu/kumbi za starehe kuomba omba pombe!

Hili ni jambo la kustaajabisha sana
 
Umewahi kuingia vlub yoyote hapa Dar?
Ombaomba wa vinywaji wa hapa jijini ni wadangaji tu wenye lengo la kukupa papuchi mwisho wa siku
hao wanaume wa mikoani wanatarajia nini baada ya ombaomba
Attention seekers mna shida sana....

Ni nchi nzima ya Tanzania ipo hivyo sababu ya umasikini uliotopea...hii kujifaragua ni Musoma tu ni namna fulani ku-undermine eneo na watu wake

Nchi nzima ni ombaomba...usibague!
 

Acha kujimwambafai na nyege mshindo zako umeumia sana wenzako wa Musoma kusemwa hahaha tulia sindano iwaingie
 




Ikiwa starehe kwako sio kw wote

Wewe mwehu nini

Mlevi umeombwa pombe na mlevi mwenzio,nothing new hapo...

Acha ukichaa






Najimwambafai,hutaki andamana

Usipangie watu maisha hapa JF

Wewe nani ukatae watu wasijimwambafai?

Unajipa vyeo visivyo vyako....what a loser!




Sijui kwanini hua mnadhani mtu akitetea hoja ya mtu fulani basi mtu huyo nae anafanya hivo

Thats wrong

Sinywi pombe mzee....

 
Wewe kama unaona huhusiki kaa kimya

Tupo sisi tunaohusika tutachangia
 
Lazima aseme huku ili hiyo tabia ikemewe

Lazima watu wajue hii tabia chafu aise
 
Huingii bar hayo umeyajuaje?
Bar gani hizo zinazuia watu wa namna hiyo hapa jijini?
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Huyo dogo anaitwa frank alafu ni puga na mwizi kukuunganishia demu likakupiga ni kugusa tu
 
Mnasema ghorofani sehemu gani? Karibu na Bank ya NBC maeneo ya Ilipokuwa Pm bet au wapi? Nikaone hayo maajabu nikanunulie watu pombe niletewe watoto niondoke nao kama steering vile nimeua jambazi kuu
Hapo hapo ghorofani na hapo chini chama la wana
 
Watu wa dar bwana!

Kwa akili yako ukiskia musoma unajua moja kwa moja ni kwa wakurya?

Kwa taarifa yako musoma kuna makabila zaidi ya 10 na hpo musoma mjini kuna mchanganyiko wa makabila mengi ingawa wajita ndio wengi.
Musoma mjini hamna wakurya..wakurya wako Tarime na hawana mambo ya kisenge ni watafutaji hapo musoma kuna wajita na wakywaya hawa aiseee ni porojo uvivu na uchawi
 
Kuna kipindi nilienda hapo palikuwa pazuri niliogelea sana
Alitakiwa apaendeleze maana alikiwa anapata watalii kibaoo
Mvua ziliharibu vibaya sana hapakua na beach tena kuanzia mativila beach tembo beach, bwalo la polisi vile vimisonge vilikuwa ndani ya maji mtaa wa uzunguni watu walihama maji yalikutana
 
Musoma ni wahuniwahuni, nimekaa maeneo ya nyasho alichokisema mtoa mada yupo sahihi. Kunatabia ambazo hazipatikani kwingine.
Rudia tena hapo kwamba Musoma ni wa nini?
Hebu replace hilo jina Musoma na jina la kule ulikozaliwa halaf usome sentensi nzima uelewe how it feels. Hebu jipige pige kifua huku ukijipongeza kuwa leo nimeongea bonge moja la point...ya KISENGE....mae.
Ukisema musoma basi ujue hakuna sehemu zenye wahuni na tabia chafu kama DSM nenda kawe udoeni, msasani lutamba, kino shanba, Kigogo Luanga, tegeta kwa ndevu karibu na machinjioni,Vingunguti kiembe mbuzi shuka na daraja la machinjioni mpaka unaenda kuikamata Tabata liwiti, Temeke katikati ya Sudani na Giraffe hotel Magomeni mtaa wa uwazani ukiwa unaenda kuporomoka mto msimbazi, buguruni kamata Ghana vuka barabara shuka na mitaa ya relini mpaka perapera na nyuma ya kiwanda cha sabuni mpaka spenko Sewage station.Mkitaka niitoboe Na Mwanza bila kuisahau Arusha nawatobolea tu Hata Singida kuanzia Puma napazoom tu kama alivyotangulia kusema mkulungwa hapo juu kuwa hii ni issue ya Total Economic situation and it is unkwepabo.na uhuni naouzungumzia hapa sio kuombana pombe bali ni matukio heavy ya kusafishana ndani mixer roba za mbao kila chocho kuanzia saa kumi na mbili hii yote ni umasikini ndo unaleta haya ikiwemo baba lao uvivu wa kimwili mpaka fikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…