Hii tabia Musoma inakera sana

Kumbe kweli
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
 
πŸ˜†πŸ˜† Hii ni hatari sana kwa afya
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Ndo kawaida yao hao madogo
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Ndo kawaida yao hawa jamaa
 
Yaani Kuombwa nao Kinywaji tu ndiyo unakimbilia JF Kuwananga hivi je, wangekuomba vingine ingekuwaje? Wewe ni Mtoto wa Kiume kweli au?

Wewe hakuna wa kiume wa wa kike hapo. Kwenye swala la kuombana vinywaji sehemu za starehe ni ujinga sana tena hao wamezidisha "eti kumiminiana..eeeh". Hata mm sikubaliani na hao omba omba. Kuliko kukaa na kuomba omba si wakatafute hela huko[emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…