hahaha ndugu. kuna usemi usemao kuwa mwanaume yuko kwa ajili ya kusubiri na mwanamke yuko kwa ajili ya kusubiriwa. hii maana yake ni kuwa kama kuna kitu anafanya lazima ahakikishe kiko sawa so kama unangoja nje, itabidi tu uwe mvumilivu.Hasante sana kwa kunielimisha... yaani kama umesoma vizuri nimeandika nishamzoea, inamaana mbinuzote hizo nilishazifanya... house girl ana ratiba zote za usafi, mlo wa watoto na mlo wetu hata nikaweka na simu kabisa kama kuna kitu kinamtatiza tupigie. I think ni hulka tu ya mtu. Kikubwa ni kumuelewa na kumpenda zaidi.
Sisi tunatumia gari moja namshusha ofisini kwake na jioni nampitia tunarudi.. sasa asubui toka tunaamka mpaka tuaondoka yeye ni kutoa maagizo tu..... sasa kali zaidi wakati ndo tunatoka ndani kuelekea parking..Men, it takes another 5 to 10 mnts mpaka afike. Anaanza upya, - mmenielewa?...usahau.... watoto muhakikishe.....usafi ...
Sasa na wakati wa kumpitia jioni kurudi nyumbani nampigia simu namwambia baada ya nusu saa nitakua hapo.. yaani nikifika it will take another 15 mnts atoke huko ofisini.. ukimuuliza eti nilikua nazima computer.... mwanzoni ilinipa shida sana ila imebidi nizoee tu... kama nawai mahali lazima nianze kuondoka 1hr before.
But ilove her to death.
sasa ww naona unataka kugombanisha wa2. kwanza kama ni F bac hujaolewa na kama ni M bac hujaoa. kaa kimya wenye ndoa 2ongee. Mkuu endelea kumpenda mkeo wanawake wote wapo hivyo esp wenye watoto tayari so usichoke kumhimiza aharakishe mizunguko yake, kitu kingine mwamshe mapema zaidi yako, na mwambie ww ukiamka tu hutapoteza zaidi ya nusu saa atakuelewa tu one day.Huyo mwanamke ana dharau za hali ya juu. Hajui kuheshimu muda wala kumheshimu mumewe. She is "self centered".
sasa ww naona unataka kugombanisha wa2. kwanza kama ni F bac hujaolewa na kama ni M bac hujaoa. kaa kimya wenye ndoa 2ongee. Mkuu endelea kumpenda mkeo wanawake wote wapo hivyo esp wenye watoto tayari so usichoke kumhimiza aharakishe mizunguko yake, kitu kingine mwamshe mapema zaidi yako, na mwambie ww ukiamka tu hutapoteza zaidi ya nusu saa atakuelewa tu one day.
hehehe.. Bra-J in human we have Matriachy we do not have Patriach na kama ipo ni ya kulazimisha. So back to your point ,your very very wright - my mama raised me... tena raised me to be a strong and caring husband.hizo ni dalili umelelewa na mama peke yake (mtoto wa mama)
JF mwanzo mwisho. Mume wangu angekuwa member ningesema leo kaamua kutoa siri za ndani; maana huyu wife wa jamaa ana tabia kama zangu; mume wangu akija nipitia job analalamika eti kwa nini sikuzima computer na amenipigia kuwa anakuja.
Jamani; yani nizime computer wakati sijuhi exactly utachukua muda gani kwenye foleni; kuweni fair kidogo. Wakati mwingine nasema ngoja nifuate masharti basi nazima; afu nakaa saa nzima jamaa hajatokea.
Kuna siku ilikuwa tunatoka jioni; sasa yeye si unajua tena akitia t shirt yake na jeans kamaliza; mimi niangalie hereni ziko wapi, wanja lipstick sijuhi nini; huwezi amini alisusa. Namwambia twende, ooh nimegaili naangalia mechi.
Nkamwambia lete funguo mi najisikia kutoka... mbona alichanganya miguu kuelekea garini.
Hiyo ndo raha ya ndoa; lazima mtu akubore bana kidogo, otherwise kila kitu kikiwa kwenye mstari maisha yatachosha. Lol.
Hehehe umenichekesha.... Its true ndoa bila vituko kidogo hainogi. Umenikumbusha siku moja nilimsusia gari nikawa naenda kupanda dala dala..... nimefika ktiuoni dakika mbili tu nae huyu huku anahema. Namuuliza kulikoni? anajibu eti aachwi mtu hapa mguu kwa mguu. Nikamuuliza si nimekuachia gari? Akanijibu leo anajisikia kupanda daladala. Jioni tumerudi katika kupiga story ndo akaniambia alilikimbia gari kwa sababu ya mafuta, kumbe alichungulia geji ya mafuta akaona haijakaa vizuri .... tulicheka sana.
kwa zile couple ambazo hazimiliki magari sijui wao wana-cope vipi.... mume anawahi kituo cha daladala kudandia mchuma wakati mama anafuata nyuma teh teh teh
Sisi tunatumia gari moja namshusha ofisini kwake na jioni nampitia tunarudi.. sasa asubui toka tunaamka mpaka tuaondoka yeye ni kutoa maagizo tu..... sasa kali zaidi wakati ndo tunatoka ndani kuelekea parking..Men, it takes another 5 to 10 mnts mpaka afike. Anaanza upya, - mmenielewa?...usahau.... watoto muhakikishe.....usafi ...
Sasa na wakati wa kumpitia jioni kurudi nyumbani nampigia simu namwambia baada ya nusu saa nitakua hapo.. yaani nikifika it will take another 15 mnts atoke huko ofisini.. ukimuuliza eti nilikua nazima computer.... mwanzoni ilinipa shida sana ila imebidi nizoee tu... kama nawai mahali lazima nianze kuondoka 1hr before.
But ilove her to death.
Sisi tunatumia gari moja namshusha ofisini kwake na jioni nampitia tunarudi.. sasa asubui toka tunaamka mpaka tuaondoka yeye ni kutoa maagizo tu..... sasa kali zaidi wakati ndo tunatoka ndani kuelekea parking..Men, it takes another 5 to 10 mnts mpaka afike. Anaanza upya, - mmenielewa?...usahau.... watoto muhakikishe.....usafi ...
Sasa na wakati wa kumpitia jioni kurudi nyumbani nampigia simu namwambia baada ya nusu saa nitakua hapo.. yaani nikifika it will take another 15 mnts atoke huko ofisini.. ukimuuliza eti nilikua nazima computer.... mwanzoni ilinipa shida sana ila imebidi nizoee tu... kama nawai mahali lazima nianze kuondoka 1hr before.
But ilove her to death.