Hii tabia ya Simba kulaghai kwa wachezaji wameanza lini?

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Nicco,Deo Njohole walitaka timu gani? Shindika,Okwi, Kapombe(majaribio),Shekan Rashid walitoka wapi?
 
Kwanza kabisa kabla sijaanza kukutajia wachezaji wa Yanga waliokwenda nje naomba utambue kuwa Kapombe hakucheza hata game moja Caen kule Ufaransa.

Alienda kwa majaribio tu.
Nitajie waliokwenda majaribio toka jangwani.
 
Umesema Mpaka sasa! Ngoja tumuongeze na Boban hapo juu ili wawe 3.

Shaba NONDA - Monaco

Nizar KHALFAN - Philadelphia Union (mls)

Mrisho NGASSA - Free state Stars (SPL)

Kpah SHERMAN - Mpumalanga Black Aces( SPL)

Eti mrisho -Free state... n.a. main gone Mpumalanga! Huko ni Ulaya ee?
 
Mchezaji yeyote mwenye nia ya kwenda kucheza soka ulaya anaweza kwenda kwa bidii zake na kujitambua yeye binafsi na sio kucheza Yanga au Simba, Ulimwengu ni mfano mmojawapo hajawahi kucheza Yanga wala Simba tuache siasa kwenye soka


Mashabaiki wa simba watakuja wakutukane sasa hivi....

wao wamekuambia hakuna mchezaji Bongo anaye weza kugusa Ulaya bila kupitia simba, alafu wewe unabisha kama nani?
 
Eti mrisho -Free state... n.a. main gone Mpumalanga! Huko ni Ulaya ee?


Sijui umeielewa mada au umedandia kwa mbele?

Ebu soma tena mada... then uje kuonyesha wazo lako!
 
Nitajie waliokwenda majaribio toka jangwani.
Yanga

1. Msuva - Bidvest

2. Nadir - Whitevaps Residence.

3. Ngassa - Seattle Sounders

Simba

1. Ajibu - Haras El Hodoud

2. Mkude Bidvest

3. Kapombe - Cain

Ebu ongezea mchezaji wa simba niliye msahau hapo!
 
Wewe BOYA, hivi wewe ni mchambuzi wa habari za michezo au mwandishi au mhariri?. Nimeuona huuu upuuuuuuzi wako kule VIDOKEZO, sio kwa habari za kimburula kama hizi za kwako
 
Wewe BOYA, hivi wewe ni mchambuzi wa habari za michezo au mwandishi au mhariri?. Nimeuona huuu upuuuuuuzi wako kule VIDOKEZO, sio kwa habari za kimburula kama hizi za kwako


Vidokezo ndio wapi huko? Naona umejaa POVU mtu mzima, bila breki unanivaa tena hata bila salamu/ Hujambo lakini?
 
Zamani wakati niko mdogo miaka ya thamanini, babu yangu aliniambia kwamba simba ilikuwa inaitwa Sunderland na yeye alikuwa mwanachama. Babu yangu ni second world war veteran... kabila mnyasa lakini alizaliwa Dar, akao Dar, akafa Dar na akwawacha nyumba tatu, mbili kariakoo, na moja magomeni.

Anyway, kwa ufupi wengi ni mabwege wamevamia Dar, wala hawajui asili ya hizo timu. Endeleeni na ubwege wenu mapunda nyiye! Mijitu ya bara wamevamia Dar basi wanajifanya wajanja kuliko waliojenga Dar. Hata nyerere alikaribishwa na babu yangu.
 
Eti mrisho -Free state... n.a. main gone Mpumalanga! Huko ni Ulaya ee?


bona Samatta alivyokuwa TP Mazembe mlikuwa mnahesabia mmempeleka ULAYA?
 


Kuwa muwazi kidogo Mkuu, wengi wetu akili zetu ni za kuishabikia CCM. Ukiongea kwa mafumbo tunashindwa kukusoma! Kuwa straight kama JPM.
 
Kuwa muwazi kidogo Mkuu, wengi wetu akili zetu ni za kuishabikia CCM. Ukiongea kwa mafumbo tunashindwa kukusoma! Kuwa straight kama JPM.
Mjomba nimeshakuwa muwazi. Wote wanaojidai wanaijua simba na yanga sana ni mabwege majitu ya bara. Tunayoijua ni sisi watu wa dar wenye babu zetu tangu enzi ya Sunderland na Young Africans, na hao wanaoijua ni waliopigana vita ya kwanza na ya pili ya dunia, siyo mabweha majizi tu yakuja ya bara!
 
Henry joseph
 
Nicco,Deo Njohole walitaka timu gani? Shindika,Okwi, Kapombe(majaribio),Shekan Rashid walitoka wapi?

Naona umeamua kuwataja Failures na Trialist.

Huwezi ukajicommitt Simba kwa malengo ya kujisifia utapata nafasi ya kucheza nje, then ukacheze nje kwa misimu 2 tu....

Hao wote uliowataja hakuna hata mmoja aliyecheza nje zaidi ya misimu 2.

Mtu baada ya misimu 2 anatemwa, anaona aibu kurudi Bongo anaamua kucheza Ligi araja za chini kabisa huko Ulaya.


Tusijiongopee! wachezaji pekee waliopitia Yanga na SImba na wakawa na succesful career ni NONDA na SAMATTA peke yao...

Hao wengine ni wahuni tu......
 
Mbona nimesikia Ka-alcohol amesajiliwa na mikia fc, na boban anagonga gongo tu pale mboka manyema?
 
Hendry Joseph Shindika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…