Zamani wakati niko mdogo miaka ya samanini, babu yangu aliniambia kwamba simba ilikuwa Sunderland na yeye alikuwa mwanachama. Babu yangu ni seconnd world war veteran... kabila mnyasa lakini alizaliwa Dar akao Dar akafa Dar akwawacha nyumba tatu, mbili kariakoo, moja magomeni.
Anyway, kwa ufupi wengi ni mabwege wamevamia Dar, wala hawajui asili ya hizo timu. Endeleeni na ubwege wenu mapunda nyiye! Mijitu ya bara wamevamia Dar basi wanajifanya wajanja kuliko waliojenga Dar. Hata nyerere alikaribishwa na babu yangu.