Hii kiafya ni hatari kwakweli kama sio kushangaza basi inasikitisha yaani wizara husika hazijishughulishi kabisa...
Viongozi wengi wa hii nchi wako katika comfort zone ndio maana karibia kila kitu wananchi tunawashtua ndio wao wanakurupuka na kukitekeleza.
Kama wanavyoipromote chanjo basi na huu uvutaji hovyo wa sigara wauvalie njuga la sivyo upambanaji wa UVIKO19 utakua hauna maana kama tunaacha magonjwa kama kifua kikuu.
Hili tatizo kwa viongozi hawawezi kuliona kilahisi, ila sisi wazee wa informal sector/sekta zisizorasmi tunakeleka na kuteseka sana maeneo tunayofanyia kazi.
Tamko la serikali lina nguvu kwahiyo wafanye jambo hapa.
hata mabago yarudishe kwenye makutano ya umma