Hii tabia ya uvutaji wa sigara ovyo ikomeshwe

Hivi hakuna kiongozi wa ngazi za juu kwenye utawala huu anayevuta fegi,??
 
ndio maana mimi huwa nawavizia wakisha fika mbalinawatandika mawe mafaka hao [emoji1787][emoji2223]
 
Sigara ni moshi wa mimea ambao hata ukichoma nyasi tu madhara yanafanana. Vipi magari yanayochoma diesel, petrol na viwanda vinavyunguza maplastic mshaviondoa katikati ya makazi. Inahitaji miaka mitano kwa mvuta sigara mmoja kutema kilo moja ya hewa ukaa ila hilo lori lako la taka hutema zaidi ya kilo 50 za hewa ukaa kwa siku na mnapishana nalo kila siku
 
Ni ujinga kwanini wasifanye kisiri?mbona wavuta bange wanajichimbia chimbo ,huu ujinga upo hapa kwetu ,ulaya kwenye vyuo ,hospital na sehemu zenye mikusanyiko kunakuwa na sehemu special ya kuvuta sigara,hata kama kwetu hamna hizo sehemu siyo mtu anawakuta sehemu huku anavuta
 
Tuchepuke njia gani ikiwa kila njia unayopita unakutana na wavuta sigara. Wewe inakuathiri vipi wengine wakinywa alkasus?
 
Ndo mana kuna sera mbalimbali kikawaida hata viwanda havipaswi kujengwa kwenye makazi ya watu vilevile matumizi ya magari yana muda maalumu ya kutumika au kuwe na mbadala wa nishati zaidi ya hapo na yenyewe ni uchafuzi vilevile.
Sigara licha ya uchafu pia inaleta kero ya harufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…