Hii tabia ya wanaume kukatwa kucha na wanaume wenzao imekaaje?

Hii tabia ya wanaume kukatwa kucha na wanaume wenzao imekaaje?

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Tumezoea kuona wale vijana wakipita majumbani kukata kucha za wanawake, kubandika kucha bandia pamoja na kuwapaka rangi. Binafsi tabiaa hii siipendi na hata wife nilimpiga marufuku kama anataka huduma hiyo atafute wanawake wenzake.

Juzi juzi nikiwa Dar nimeshangazwa kidogo kuona tabia hii imewapata na wanaume? Wanaume wa mikoani hii imekaaje hii, iko poa kweli?
 
Wanahisi dada zao wanafaidi sana, inabidi nao waige tu.

dodge
 
Dah sio dar tu. Juzi kati nmemkuta ndau anaoshwa mihuu afu jamaa anampalua palua kidogo. Dah

kelphin kepph
 
Hiv alowambia mwanaume anatakiwa kuwa rough ni nani. Mi hata miguu huwa naosha na kucha na kata. Hasa za miguu ambazo siwezi kujisafisha vizuri. Hawa wanawake tunaooa hawa wana matatizo maana wao ndo wanatakiwa kufanya hizo shugjuli. Unakuta mwanaume miguu michafu ina ukoko hadi inanuka dead cells

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipita maeneo fulani hapo Morogoro nikakuta mwanaume katuliaa anaoshwa miguu na kukatwa kucha na mwanaume mwenzie.

Nilipatwa na mshangao hasa ukizingatia ni mara yangu ya kwanza kuona tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuosha miguu na kukata kucha sawa, kuoshwa na mwanaume mwenzio? (kweshweni maki)
 
Mi nadhani ifike kipindi wanaume wa dar watafutiwe jina (utambulisho mwingine). Maana imagine huyo wa dar anaeoshwa miguu na mwanamme mwenzie akiitwa mwanamme na mwamba serengeti ambae halali usiku kucha anapambana na kundi la simba wanaotaka kuiba mifugo kwenye zizi lake tumuite (tumtambulishe) kama nani?
 
Back
Top Bottom