Hii tabia ya wanaume kukatwa kucha na wanaume wenzao imekaaje?

Hii tabia ya wanaume kukatwa kucha na wanaume wenzao imekaaje?

Ila binadamu tunatofautiana sana. Mtu afanye kitu kwa pesa yake na life lake pasipo kuniathiri mimi au jamii yangu bado nianze kukasirika au kujiuliza endless questions.. Nitakuwa si mzima
 
Unapata wapi muda wa kurandaranda mtaani na kukagua nani anaoshwa miguu?

Aisee..... Kwahiyo unapita kila kona ukitupa jicho huku na kule kubaini wanaokatwa kucha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom