Huu uzi tutaurudia ikifika wakati muafaka.
Kwa miezi miwili sasa kuna ndoto ya ajabu naiota, Namuomba Jah isiwe ya kweli ndoto hii!
Kila nikijitahidi kuikwepa lakini bado naiota tu, ina secret cod iitwayo "the august"
Ni mpango wa mauaji wa mgombea urais,
Ndoto ni ndefu ina mikakati mingi inayohusu attaches zaidi ya 30,
Linaanzia jaribio la kwanza linakosa kwa upande wa kwanza, lakini ndani ya saa 24 upande wa pili linafanikiwa,
Nilipoanza kuota miezi miwili iliyopita ikafuatia jaribio la mapindizi Burundi nikadhani ndoto imetimia, lakini bado nikaendelea kuota tu,
Likafuatia tukio la mauaji ya kiongozi wa upinzani nchini Burundi nikafikiti tena kuwa ndoto imetimia, lakini bado naendelea kuota tu.
Hii ndoto ni mbaya maana hata mchana naota tu,
Ipi tafsiri ya ndoto hii??
Hakuna ndoto hapo wewe kuna mpango unaujua fika kuhusu kitu hicho kinachotaka kutokea ila unatuzuga kuwa ndoto ila jamii intelejensi imezipata taarifa zako tena nikiunganisha ndoto zako na matukio ya polisi kuuwawa na kuporwa bunduki na hazijulikani zinaporwa kwa dhumuni gani na ni nani anadhamini huo mpango tena ikumbukwe tunaelekea kwenye kampeni sehemu ngumu kuwapekua wahudhuriaji wa mkutano. Tafadhari nyosha maelezo kama inavyotakiwa acha kuzuga kwa ndoto
Bangi hizo.
Wewe mama huwa mjinga sana,sijui unajijua kuwa akili zako zimefyatuka kabisa,hizo bangi huwa unamvutisha wewe?
Hahahahahahahah, muulize akwambie.
Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Punguani wahed.
Hivi binadamu mwenzako unadiriki kumuita punguani?
Busara yako iko wapi sasa?
Haaa, Khabari za sheikh Yahaya Hussein ni nzito, maana alitabiri mtu maarufu atafariki na akafariki yeye almaarufuMbona unatoboa Siri ya mipango yenu ya kutafuta sympathy. Au sasa unataka kugombea wadhifa wa Hussein Yahya