Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #41
Itakuwa kuna njama za kumuua makongoro nyerere.....
Hahahahahahahah, muulize akwambie.
Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Punguani wahed.
Punguani ni wewe unayelishwa na wauaji wakuu ccm,kila siku unapeleka umbea lumumba unaoutoa humu jf,waambie kabisa huu mwaka ndo mwisho wao,waanue virago ikulu haraka,eti umeishi Canada,mtu umeishi taifa tajiri linalojari raia wake una roho mbaya as if uliishi Darfur Sudan.
Tuombe Mungu yasitokee mauaji Tanzania
umamuomba jah au Mungu?
Kwako Mungu ni nini?Tuombe Mungu yasitokee mauaji Tanzania
= linalojali.
Mwenzako mleta mada sasa hivi anamshabikia mgombea wa CCM, wewe jidanganye tu.
Kwako Mungu ni nini?
Mkuu ameshasema hiyo ndoto huwa anaota mchana na ndoto za mchana kila mtu humu anajua huwa zinakuwaje
Ukiingilia miradi ya wakubwa lazima waku restishe in peace
Ni juz nimewaza pia kufa Kwa mgombea urais. Tena magufuri, nikajiuliza jaji ataitisha tarehe nyingine za uchaguz?
Au tutaendelea wakat ccm wakchagua mtu wao?
nilikuwa nawaza tu wakat uzi huu sijaona
May be myself this code can be applied or to play in ukawa
Tafakar ya kina inahitajika
Hakuna ndoto hapo wewe kuna mpango unaujua fika kuhusu kitu hicho kinachotaka kutokea ila unatuzuga kuwa ndoto ila jamii intelejensi imezipata taarifa zako tena nikiunganisha ndoto zako na matukio ya polisi kuuwawa na kuporwa bunduki na hazijulikani zinaporwa kwa dhumuni gani na ni nani anadhamini huo mpango tena ikumbukwe tunaelekea kwenye kampeni sehemu ngumu kuwapekua wahudhuriaji wa mkutano. Tafadhari nyosha maelezo kama inavyotakiwa acha kuzuga kwa ndoto
Uongozi wa nchi hii ni mradi wa mtu kumbe?
Yeriko hujui nn hapo. Si unaona wanavyokatana bila kufuata taratibu