Agosti ndio hiyooo..
duuu. sijaelewa! kwani we mtabir?
Waache wafe tuu maana hamna namna nyigine sasa
Mtoto Wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa kuna mgombea mmoja atafia jukwaani. Serikali imuangalie sana Lowassa na team yake ya wezi na majambazi. Na hasa kipindi hiki anachodaiwa kutaka kuungana na majambazi mengine ya CHADEMA
mkuu apo kwenye red pamebeba ukweli, comment yako ni ya mwezi may lkn tukio la stakishari ni la mwezi july; toa maelezo vzr vp na ww uliota tukio la stakishari?Hakuna ndoto hapo wewe kuna mpango unaujua fika kuhusu kitu hicho kinachotaka kutokea ila unatuzuga kuwa ndoto ila jamii intelejensi imezipata taarifa zako tena nikiunganisha ndoto zako na matukio ya polisi kuuwawa na kuporwa bunduki na hazijulikani zinaporwa kwa dhumuni gani na ni nani anadhamini huo mpango tena ikumbukwe tunaelekea kwenye kampeni sehemu ngumu kuwapekua wahudhuriaji wa mkutano. Tafadhari nyosha maelezo kama inavyotakiwa acha kuzuga kwa ndoto
Mtoto Wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa kuna mgombea mmoja atafia jukwaani. Serikali imuangalie sana Lowassa na team yake ya wezi na majambazi. Na hasa kipindi hiki anachodaiwa kutaka kuungana na majambazi mengine ya CHADEMA
shikamoo yericko nyerere.nitakutafutia ajira CIA au mossad.upo vizuri kijana.
Hehee karibu mkuu