Hii 'The August' ni secret code ya nini?

Mtoto Wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa kuna mgombea mmoja atafia jukwaani. Serikali imuangalie sana Lowassa na team yake ya wezi na majambazi. Na hasa kipindi hiki anachodaiwa kutaka kuungana na majambazi mengine ya CHADEMA
 
Mtoto Wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa kuna mgombea mmoja atafia jukwaani. Serikali imuangalie sana Lowassa na team yake ya wezi na majambazi. Na hasa kipindi hiki anachodaiwa kutaka kuungana na majambazi mengine ya CHADEMA

nigaa the swaggar what https://jamii.app/JFUserGuide was fucking for????...???????
 
mkuu apo kwenye red pamebeba ukweli, comment yako ni ya mwezi may lkn tukio la stakishari ni la mwezi july; toa maelezo vzr vp na ww uliota tukio la stakishari?
 
shikamoo yericko nyerere.nitakutafutia ajira CIA au mossad.upo vizuri kijana.
 
Mtoto Wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa kuna mgombea mmoja atafia jukwaani. Serikali imuangalie sana Lowassa na team yake ya wezi na majambazi. Na hasa kipindi hiki anachodaiwa kutaka kuungana na majambazi mengine ya CHADEMA

yaan kwa akil zako,umemuona lowasa ndo mtu pekee anaegombea urais?thnk twice plz.ndoto haijakamilika unatoa hitimisho,
 
Yeriko acha kujifanya umeota hiyo inshu mnaipanga kuhusu mgombea wa uraisi CCM, eti uote mangapi yametokea usiote Hilo tu? Na Ikifanikiwa hiyo mipango miovu juu ya Magufuli uwe mshtakiwa namba 1
 
Hehee karibu mkuu

Barua nyingine peleka kwa DPP
Kwamba Mwaka
2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa. Pia Rostam Aziz alimpa
Mbowe tshs 100m za kampeni. Pia gazeti la Tanzania Daima
limeanzishwa na fedha za chama kutoka
Conservative party? Andika kwa kiswahili tu.

Kisha uje tukutafsirie hizo njozi zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…