hey mkuu,nilipata supporting ya Bibilia.(woman =problem) kwani wanawake ndio waliosababisha binadamu tupate shida,alipodaganywa na Nyoka kula tunda la mti wa katikati akampa Mwanamume alile.
mwanamke alikuwa Eva na mwanamume alikuwa Adam,
Hiyo FACT sio kweli coz Baba ndo kichwa na siku zote ukioa mwanamke ambaye ana problems unaweza usikae homy. Ndo maana nasema asilimia kubwa ni Problems!!!