Imagine ndo umepanga kuonana na mtu leo jamani. Masimu hayaendi, sms usiseme, miamala haisogei yani tafrani. Utajuta yani na ndio usikute uliomba ka emergency kazini kwa siku ya leo, mambo si ndo yashaharibika nyie.
Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini
Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini