Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Huyu aangalie vizuri simu yake... Mimi natumia zantel iko vizuri tu..Siku ya leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aangalie vizuri simu yake... Mimi natumia zantel iko vizuri tu..Siku ya leo?
Hawa jamaa 4g hadi usipopategemeaZantel internet natwanga kote kote in kanumba's voice
Sio tigo tu hata zantel Ni shida
Hata huku mikoani pia ni shidaSijajua mikoani ila kwa dar wote wanalalamika
Nakubaliana na wewe kweli! Miamala haifanyikazi vilivyo( kwa kubahatisha tu) mnara ni no service au simu inabaki ku sachi tu' internet 4G' +H, hupati badalayake unapata "E"Imagine ndo umepanga kuonana na mtu leo jamani. Masimu hayaendi, sms usiseme, miamala haisogei yani tafrani. Utajuta yani na ndo usikute uliomba ka emergency kazini kwa siku ya leo, mambo si ndo yashaharibika nyie.
Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini
Hawa wanaojifanya wamekula hasara kwenye kazi zao kisa internet ya tigo ilikua down ni kutupiana lawana tu hakuna sehemu duniani utapewa compensation ila kama unaona unatumia internet kwenye business ni bora ukawa na providers wawili tofauti mmoja akikwama unakua na backup.Leo wanakera sana View attachment 1813903 wanajibu kirahisi rahisi
Sio woteSijajua mikoani ila kwa dar wote wanalalamika
Kupotezeana muda tu nikajua ni Tigo kumbe tigoImagine ndo umepanga kuonana na mtu leo jamani. Masimu hayaendi, sms usiseme, miamala haisogei yani tafrani. Utajuta yani na ndio usikute uliomba ka emergency kazini kwa siku ya leo, mambo si ndo yashaharibika nyie.
Yani nimewaza ningekua na appointment sijui ingekuaje yaini