Hii timu eti ndio ichukue Kombe la Shirikisho?

Hii timu eti ndio ichukue Kombe la Shirikisho?

Mechi mbovu kabisa kuwahi kuiona maishani mwangu.. Itoshe kusema Yanga ni kikundi cha vibaka na panya road

Povu ruksaa
Kwenye hatua hiyo timu inashughulika zaidi kufika malengo. Nadhani wangepoteza nafasi ya kutinga nusu fainali ungewatukana mwezi mzima
 
Kuchota akili za Mbumbumbu tu ndiyo dhamira ya Mleta mada, kumuelewa ni lazima uwe umesoma chini ya mbuyu[emoji1]
Yawezekana pia, iwapo kumuelewa ni hadi uwe umesoma chini ya mbuyu! Ila mimi sijasoma cini ya mbuyu ndio maana simuelewi vile!
 
Nabi kweli ni profesa wa boli.

Leo alikuwa mazoezini. Nimeona mbinu mpya mechi ya Yanga kukamilisha ratiba ni Yanga kumiliki mpira na kupasiana tu mwanzo mwisho Ili kuwapoteza wapinzani hadi mpira unaisha Rivers United hawaamini wametoka bila shot on target hata moja!

Vifaa vimepumzika Nabi kadharau mechi kaweka wachezaji level ya Rivers United kina Mzize!

Kwanini utumie bunduki kuua mbu?
 
Nabi kweli ni profesa wa boli.

Leo alikuwa mazoezini. Nimeona mbinu mpya mechi ya Yanga kukamilisha ratiba ni Yanga kumiliki mpira na kupasiana tu mwanzo mwisho Ili kuwapoteza wapinzani hadi mpira unaisha Rivers United hawaamini wametoka bila shot on target hata moja!

Vifaa vimepumzika Nabi kadharau mechi kaweka wachezaji level ya Rivers United kina Mzize!

Kwanini utumie bunduki kuua mbu?
[emoji706][emoji706]
 
0870F809-31C4-46DE-98A7-CF3B05CFFBA3.jpeg

Kufa kiume
 
Mechi mbovu kabisa kuwahi kuiona maishani mwangu.. Itoshe kusema Yanga ni kikundi cha vibaka na panya road

Povu ruksaa
Vikundi vya vibaka vipo kule umbumbuni, wale waliochoma moto uwanja wa watu ndio panya road wale!
 
Back
Top Bottom