jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
hoja ipo wapi hapo?Yaani unatuletea upuuzi wa tiktok na Instagram unaita ni hoja?It doens't matter,we jibu hoja kaitoa wapi muachie mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hoja ipo wapi hapo?Yaani unatuletea upuuzi wa tiktok na Instagram unaita ni hoja?It doens't matter,we jibu hoja kaitoa wapi muachie mwenyewe.
Kitendo cha CCTV camera za Azam complex kuwaumbua,kumewafanya waamini kuwa hawatatoboa licha ya kuwa na wachezaji bora.
Inashangaza wao kuamua kuhama uwanja kwa sababu za kishirikina na si za kimpira maana hawajalalamika kuwa wamenyimwa kufanya mazoezi katika uwanja huo.
Najiuliza je,siku wapinzani wao wakiuchagua uwanja wa Azam kama wa nyumbani tutarajie watafungwa tena goli 3?
Hii ni aibu kwa club inayojinasibu kubwa kuishi kwa kutegemea uchawi na ushauri wa wachawi na sio ushauri wa mwalimu na wasaidizi wake.
Washirikina Fc haoooooTukisema Yanga Ina kitengo Cha kufuatilia nyendo zote ovu za mpinzani na kuzikwepa kwa kutopita katika mitego Yao hatubahatishi.
Hii ni mfano katika video nyingi zilizopo kwenye fail la kamati ya ulinzi na usalama wa klabu ya Yanga.
Tunaposema tunawafahamu Simba hatua bahatishi.
Washirikina Fc haooooo
Utopolo wangaaaa
Washirikina Fc haooooo
Utopolo wangaaaa
Utopolo washirikinaaa...
Utopolo washirikinaaa
Kuliko Simba?Utopolo washirikinaaa
Ile video ya kabwili unayo mkuuMashoga wa simba wametimuliwa kumbe wewe Bado upoView attachment 3148247
Si Bora yanga wanaroga gizaniNashanga wabongo walivyoikomalia Yanga na mambo ya uchawi utadhani timu inayoroga kwenye mpira wa Bongo ni Yanga pekee...
Sikiliza wewe, kwenye soka la Tanzania hata mechi za ndondo tu timu huwa zinaroga na kutoa makafara...
Simba na timu zote za ligi kuu huwa zinaroga pia, maana wakati mwingi e timu inaroga sio kwamba ishinde mechi bali ijilinde na makafara ambayo timu pinzani imeyafanya kuepusha vifo...
Makolo ni mashoga kitamboSi Bora yanga wanaroga gizani
Hawa makolo wanafanya ulozi hadharani mchana kweupe
Hawa si ndio walipigwa faininya 10000usd na caf Kwa kufanya ulozi uwanjani pale SA
Wanadhalilisha nchi kabisa tunaonekana wahsirikina , halafu wanakuja kubwabwaja hapa, umbwa kabisa haya makolo