Hii timu kuwekeza kwenye uchawi itafanya watu wengi wauchukie mpira wa Tanzania

Kwa hiyo tuseme Uto....ni wazee wa hirizi....sasa mbona nyuki waliwadunga mishale ya kutosha!
 
Tukisema Yanga Ina kitengo Cha kufuatilia nyendo zote ovu za mpinzani na kuzikwepa kwa kutopita katika mitego Yao hatubahatishi.
Hii ni mfano katika video nyingi zilizopo kwenye fail la kamati ya ulinzi na usalama wa klabu ya Yanga.
Tunaposema tunawafahamu Simba hatua bahatishi.
 

Attachments

  • VID-20241110-WA0000.mp4
    2.4 MB
 
Washirikina FC....
Yani kila mtu huko atachanganyikiwa mwaka huu
 
Washirikina Fc haooooo
Utopolo wangaaaa
 
Si Bora yanga wanaroga gizani
Hawa makolo wanafanya ulozi hadharani mchana kweupe
Hawa si ndio walipigwa faininya 10000usd na caf Kwa kufanya ulozi uwanjani pale SA
Wanadhalilisha nchi kabisa tunaonekana wahsirikina , halafu wanakuja kubwabwaja hapa, umbwa kabisa haya makolo
 
Makolo ni mashoga kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…