Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hii chombo bei yake ni Millioni 46 tu.
Kama unahitaji, jichange piga hii simu haraka 0747744895.
Kama unahitaji, jichange piga hii simu haraka 0747744895.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua akili boss, akili ikiwa sawa unamiliki hicho chomboNdio kwanza account yangu ina soma 4,000,000 hapo mpaka kuja kumiliki hicho chombo ni muda wa miaka mingi sana.
Hujataka tu kukuza hela yakoNdio kwanza account yangu ina soma 4,000,000 hapo mpaka kuja kumiliki hicho chombo ni muda wa miaka mingi sana.
Inahitajika ufanisi wa akili mnoFungua akili boss, akili ikiwa sawa unamiliki hicho chombo
Nipe mbinu nikuze vipi hii helaHujataka tu kukuza hela yako
[emoji16][emoji16][emoji117]Mwendo wa kukodi tu. Mambo ya umiliki haina ulazima sana.
Kama ni cash ina kaanga akili haswaaa wengi hatuna pesa za kulipa cash [emoji1787]Utaratibu wa kukopeshwa umekaaje? Yaani unalipa kiasi gani kwanza, halafu kiasi kinachobakia kulipwa kila mwezi ndani ya muda fulani?
Au hiyo trekta yako ni ya kulipa kwa cash?
Changamoto ya trector za volvo watu wanaziogopa vipuli, ila kwa upande wangu ninayo moja nimei import kutoka china engine ni cums na wechai ziko poa wapunguze bei kama wanataka wateja hawawezi kuingia sokoni na kuanza na bei hiyoHii chombo bei yake ni Millioni 46 tu.
View attachment 2418522
mbona hiyo bei ndogo sanaChangamoto ya trector za volvo watu wanaziogopa vipuli, ila kwa upande wangu ninayo moja nimei import kutoka china engine ni cums na wechai ziko poa wapunguze bei kama wanataka wateja hawawezi kuingia sokoni na kuanza na bei hiyo
Hiyo ni VOLVO kweli? Au mie sijaelewa vizuriChangamoto ya trector za volvo watu wanaziogopa vipuli, ila kwa upande wangu ninayo moja nimei import kutoka china engine ni cums na wechai ziko poa wapunguze bei kama wanataka wateja hawawezi kuingia sokoni na kuanza na bei hiyo
Ni LOVOL itakuwa ni wachina hao kwenye ubora wao, wanacheza na akili na macho yetu haraka haraka unahisi ni volvo 🤣😂🤣Hiyo ni VOLVO kweli? Au mie sijaelewa vizuri
Lovo sio volvoHiyo ni VOLVO kweli? Au mie sijaelewa vizuri
Nitakutumia invoice niliyolipia kutoka china compare na hiyo price yenu bado kubwa sana 1 month mpk sasa limeingia kupitia bandari ya dsmmbona hiyo bei ndogo sana
Hii namba sio yako yako 95Hii chombo bei yake ni Millioni 46 tu.
View attachment 2418522
Kama unahitaji, jichange piga hii simu haraka 0747744895.
sure ni cost effective sana kukodi kuliko kununua labda mtu uwe na kilimo kama ambacho ni kikubwa sana.Mwendo wa kukodi tu. Mambo ya umiliki haina ulazima sana.
Bei ndogo sana Kwa tractor hiyo ,sasa wewe utaweza nunua mitambo ya John Deere au Marsey Ferguson kweli wewe .Kilimo ni biashara kubwa na inahitaji uwekezaji wa uhakika si kilimo cha kubahatisha . Kama kweli uko serious na kilimo chukua mtambo huo ,wakulima waache jembe la mkono kabisa ,hamna tija ,ni bora mjichange hata watu wawili watatu mnunue hiyo mitambo muwe mnachangia running cost za mafuta na repairChangamoto ya trector za volvo watu wanaziogopa vipuli, ila kwa upande wangu ninayo moja nimei import kutoka china engine ni cums na wechai ziko poa wapunguze bei kama wanataka wateja hawawezi kuingia sokoni na kuanza na bei hiyo
Na Mimi nilitaka kushangaa , tractor gani ya milioni 46 , hahaaa ,machine ya Volvo ununue kwa pesa hiyo , hata kwa used pale south Afrika hupati kwa bei hiyoNi LOVOL itakuwa ni wachina hao kwenye ubora wao, wanacheza na akili na macho yetu haraka haraka unahisi ni volvo [emoji1787][emoji23][emoji1787]