TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ni kweli hilo ndilo lilikuwa lengo lako.Mada yangu haihusiani na kwamba GDP ni kipimo cha maendeleo ya nchi au la,mada yangu inahusiana na serekali ya Tanzania kudanganya katika utoaji wa data za GDPs.Wao kila mwaka hukomaa na ukuaji wa asilimia 7 kitu ambacho ni uongo.
Mbona unamshambulia mwenzako!? Ha hahaaaKila kipimo kina weakness zake
Kuja hapa na kushambulia kipimo sababu kina weakness wakati vyote vina weakness tunashindwa kuelewa motive yako hasa kama ni sincere.
Ni fact tu,ingekua imepata kutoka 5.8% ikaenda 10% mkuu usingeongea huu unafiki hapa...ungesifia Magufuli mpaka mdomo uchanike
Shida ni unafiki
Hakujawahi kuwa na conclusion kuwa kitumike kipimo kipi!Ni kweli hilo ndilo lilikuwa lengo lako.
====
Mkuu, unaona ni sawa kuendelea kutumia kipimo cha GDP mbali na mapungufu yote haya yaliyoonyeshwa !?
Mkuu, kwa nini uone shida, umma wa JF, Tanzania na ulimwengu kujuzwa habari za ubovu wa kipimo cha GDP!?
Ungemwambia tu hapo mwishoni aweke "isnt it?"Question tags ni janga la wengi, jifunzeni kutengeneza question tags katika lugha ya Kingereza jamani. Hii ni shida kwa watu wengi.
Ndio maana ikasemwa kuwa GDP is not a reliable index to measure economic developments, it rather shows the growth in material things regardless of who finally benefits. Kuna nadharia nyingi za ukuaji wa uchumi na zote zina strength na weakness zake.
Ndio maana umoja wa mataifa uliibua njia mbadala kama vile poverty index kwa kuwa vina akisi mabadiliko ya kiuchumi ya mtu mmoja mmoja.
Hivyo Kwa maoni yangu aliyesema GDP sio reliable indicator yuko sahihi kabisa. Tuelewe kitu kimoja, GDP inatumika na Wb na IMF sana sana Lkn mashirika mengi ya UN hutumia index zingine hasa poverty index (gin coefficient kama mtakumbuka) .
Kwa kawaida inawezekana GDP kushuka wakati maisha ya watu yanaimarika zaidi na inawezekana maisha kuwa magumu ilihali GDP Inapanda, which is a case in our Country. Pia, GDP inahesabu malipo kwa kampuni za nje kama za wachina, yepi merkezi, waarabu wa Stigler gorge n.k kama sehemu ya mapato kwa wananchi. Ilihali zile fedha hupelekwa kwenye Nchi zao.
Na kama mjadala huu juu ya GDP mtaungizia siasa, then hautakuwa na hitimisho la maana. Kwa maana ya kuwa GDP ni standard ya WB na IMF. Na taasisi hizi zimeziagiza Nchi zote kutumia standard ya index hiyo.
Mwisho :Kwenye hili lazima wachangiaji tukubali kutokukubaliana. Lakini ukweli utabaki kuwa GDP does not define National economic performances or prosperity if one insist on using it be it a leader or a common person then should consider himself or herself outdated. And there are more than one method to measure economic performance or prosperity of the country. Let's do the homework to learn which one are the other method and which one is the best. Whatever conclusion you come up with in this matter know that it is subjective to your intellect, knowledge, and preferences.
Samahani kwa kuchangia lugha.
Mada yangu haihusiani na kwamba GDP ni kipimo cha maendeleo ya nchi au la,mada yangu inahusiana na serekali ya Tanzania kudanganya katika utoaji wa data za GDPs.Wao kila mwaka hukomaa na ukuaji wa asilimia 7 kitu ambacho ni uongo.
Kwa maoni yangu ni busara sana kuwaamini wale wanaotoa hela za kututengenezea hiyo miradi yetu mikubwa ya maendeleo.Mtoa hela ndiye Mungu wetu wa pili.Hoja kubwa hapo ni ama tuziamini takwimu za serikali inayotujengea miundombinu mujarabu na miradi mikumbwa ya maendeleo inayoonekana wazi, ama tuwaamini mabepari na mabeberu ambao wametuibia rasilimali zetu deile na pia wametuletea mtanduko wa korona na kutuuzia chanjo yake!???
Kwa maoni yangu ni busara sana kuwaamini wale wanaotoa hela za kututengenezea hiyo miradi yetu mikubwa ya maendeleo.Mtoa hela ndiye Mungu wetu wa pili.
Unajua kusoma?Wapi nimezungumzia mambo ya serekali kukopa hela?Wewe ni mbovu kumkichwa, hiyo inajulikana tu mbona. Hivi ukikopa fedha benki, ni mali yako ama ya benki!???
Unavimudu? Fahari ya macho, kuona si kuchukua!Kwahiyo? Mi cha msingi kwangu ni kwamba nikienda bar bia bado zipo na warembo wa kila aina bado wanapatikana, hayo mengine nawaachia nyinyi
vitu hivyo vinatengenezwa na nini? au pesa inalipwa wapi?.......... afadhari huyu wizi hauonekani, huyu vitu vinaonekana ila pesa haionekani
Did you hear the opinions of two of them (Dr Blandina Kilama, REPOA and Prof. Ngowi, Mzumbe University) during the launch yesterday? If in most cases, they were not answering the questions, I do not think whether they have the capacity to come up with the alternative measure.If critically look into my argument about GDP, you will find out that I bringing out a constructive criticism/provocation, which our Tanzanian economic experts are supposed to work on it. They have to come up with a reliable index, which will actually reflect our prosperity in these modern days of artificial intelligence and the company. Remember, I am not the economist by professiona.
Bring your alternative.GDP is the parameter/index, which carries the lumpsum of several variables! In other words it is not a reliable factor to gauge the prosperity of the country.
Ujue kitu unaweza ukakimudu ila bado usiwe na access nacho, nenda Saudi Arabia uone kama utapata hivyo vitu kirahisi hata kama unavimudu, kule pombe na wanawake ni kama madawa ya kulevya, we acha tu, bongo sihami.Unavimudu? Fahari ya macho, kuona si kuchukua!
Chapeni kazi. Hiii ni Vita ya kiuchumiHuu ni uthibitisho wa wazi kabisa kuwa huwa tunadanganywa mengi na viongozi wetu wakiwa kwenye MIC![emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 1716434
View attachment 1716438
Wangesema imepanda toka 5.8% - 6.9% ungeandika haya haya?GDP is the parameter/index, which carries the lumpsum of several variables! In other words it is not a reliable factor to gauge the prosperity of the country.