Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nimemkubali jamaa alo reply hio twit [emoji23][emoji23][emoji16][emoji38][emoji2]President Trump kaifutia WHO msaada wa fedha akidai WHO imekuwa upande wa China kwa kuipongeza kwenye kupambana na Coronavirus. Cha ajabu hata yeye aliisifia China January 24.
View attachment 1419653
kweliNgoja tuone
😂 😂 😂 😂 😂 😂 eti hey,President Trump kaifutia WHO msaada wa fedha akidai WHO imekuwa upande wa China kwa kuipongeza kwenye kupambana na Coronavirus. Cha ajabu hata yeye aliisifia China January 24.
View attachment 1419653
habari mimi ni mgeni hapa nakusalimukweli
hellow😊😊😊habari mimi ni mgeni hapa nakusalimu
Hapo ndipo uelewe na wananchi wa US upstairs wana matatizo hivyo hivyo mkuu.Trump ni mtu wa kukurupuka.. yaani matamko yake yanajicontradict kila siku..
Katika vitu ambavyo sivielewi ni Trump kuwa rais wa US.. hivi kwamba wao hawaoni vitu obvious kwamba jamaa hayuko vizuru upstairs.
Kama hufuatilii mienendo ya siasa za dunia ndo utashangaa kwanini Trump kawa rais was USA, kwanza ujue kuanzia mwaka 2012 lilianza vuguvugu la right wing leaders ambao wanamisimamo ya kibaguzi kwa watu ambao siyo Wazungu, nchi kadhaa za ukanda wa Euro zilikumbwa na hizo siasa, zikaenda kuishia USA na Trump akawa rais, hawa watu wa mrengo wa kulia ambao hawapendi mabadiliko huwa wanaamini kuwa wao ndo wanajua kila kituTrump ni mtu wa kukurupuka.. yaani matamko yake yanajicontradict kila siku..
Katika vitu ambavyo sivielewi ni Trump kuwa rais wa US.. hivi kwamba wao hawaoni vitu obvious kwamba jamaa hayuko vizuru upstairs.
Angel unajitag and then unajisalimu mwenyewe enh?habari mimi ni mgeni hapa nakusalimu