Hii utaikuta Tanzania pekee

Kumbe katiba ikisiginwa unaudhika eeh? Sasa hii ni michezo, vipi katiba ya nchi?

Mara ngapi tumesikia 'Wazee wa Dar es Salaam' wanaongea na mkuu wa nchi lakini at the same time namuona mzee wangu hana taarifa ya kikao? Kumbe inauma eeh?

Mbona mtu mmoja ameagiza ndege bila...aah, mi naona Yanga wako sahihi, HAPA KAZI TU. Katiba na riwaya yote maandishi. Aliyeshika mpini akamue anavyoona inafaa
 
Yes bora kuliko yule anayetaka kuikodisha bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…