Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
I support this ila hanscana apewe heshima yake aseehNikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.
Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.