Hii video ya IYO, inadhihirisha kiasi gani Diamond Platnumz yupo serious kwenye investment ya music videos!

Hii video ya IYO, inadhihirisha kiasi gani Diamond Platnumz yupo serious kwenye investment ya music videos!

Nikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.

Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
I support this ila hanscana apewe heshima yake aseeh
 
Nikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.

Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli?

Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto...

Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi, dancers, location, logistics zote.

Halafu sikutegemea director akawa Hanscana!

Wasanii wengine wanafeli wapi..


Nishaongeza views 😀😀
 
Vile vitoto vya kayumba vinavyocheza nimevifurahia aisee, hao wadada sjui amewatolea wapi , Wana viuno vigumu kama kichwa cha Mkaruka
I have no doubt, Mkaruka is a smart guy lakini linapokuja suala la Diamond, jamaa lazima apeleke akili likizo!! Sijuwi aligongewa demu wake huyu 🤣 🤣 !! Ni kama Matola tu!! Halafu Matola mwenyewe simuoni siku hizi!! Sijui ndo huyu Mkaruka 🤣🤣🤣
 
Nishaongeza views [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
I support this ila hanscana apewe heshima yake aseeh
Nikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.

Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
Sisi tunasubiri mziki mzuri hizo nyimbo zenu za kelele endeleeni nazo by the bora ingekua singeli kidooogo ningeshawishika ila sio amapiano
Nasikia makelele ya pumba za kizulu na kiswahili kisichoelewaka tu.
Baada ya kuifungua na kuona video YouTube ndio nkagundua lengo la mtoa mada....
Huyu mkuu anaitafutia "Iyo" viewers huku JF.

Full stop.
 
Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli?

Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto...

Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi, dancers, location, logistics zote.

Halafu sikutegemea director akawa Hanscana!

Wasanii wengine wanafeli wapi..


Kazi iendelee 🙌🏽
 
Mmmh aisee hapana! Sio Diamond ninayemfahamu.
 
Back
Top Bottom