Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
I support this ila hanscana apewe heshima yake aseehNikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.
Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.
Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
Nishaongeza views 😀😀Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli?
Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto...
Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi, dancers, location, logistics zote.
Halafu sikutegemea director akawa Hanscana!
Wasanii wengine wanafeli wapi..
Watu wengine ni wa kuwapuuza tu ndugu yangu..."magodoro tumeloweka maji" nayo ni Kiswahili kisicho eleweka??
I have no doubt, Mkaruka is a smart guy lakini linapokuja suala la Diamond, jamaa lazima apeleke akili likizo!! Sijuwi aligongewa demu wake huyu 🤣 🤣 !! Ni kama Matola tu!! Halafu Matola mwenyewe simuoni siku hizi!! Sijui ndo huyu Mkaruka 🤣🤣🤣Vile vitoto vya kayumba vinavyocheza nimevifurahia aisee, hao wadada sjui amewatolea wapi , Wana viuno vigumu kama kichwa cha Mkaruka
Nishaongeza views [emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
I support this ila hanscana apewe heshima yake aseeh
Nikadhani kuwa kuna ferrari imechomwa moto kwenye hiyo video ndo tuseme kuna investment kubwa ya pesa kwenye video..kumbe ni gharama za kuwachezesha watoto wa darasa la nne.
Video inaonekana haina gharama kubwa..gharama ni kuwakusanya hao watu na kuwavisha tu.
Sisi tunasubiri mziki mzuri hizo nyimbo zenu za kelele endeleeni nazo by the bora ingekua singeli kidooogo ningeshawishika ila sio amapiano
Baada ya kuifungua na kuona video YouTube ndio nkagundua lengo la mtoa mada....Nasikia makelele ya pumba za kizulu na kiswahili kisichoelewaka tu.
Ndio maana nimemkejeli hapo 😀😀Baada ya kuifungua na kuona video YouTube ndio nkagundua lengo la mtoa mada....
Huyu mkuu anaitafutia "Iyo" viewers huku JF.
Full stop.
Kazi iendelee 🙌🏽Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli?
Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto...
Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes karibu 30 mule, kuanzia wanafunzi darasani, magodoro, club, wadada wawili, masela wawili, mavazi, dancers, location, logistics zote.
Halafu sikutegemea director akawa Hanscana!
Wasanii wengine wanafeli wapi..
Kwikwi maana yake nzuri au mbovu?Baada ya kusoma comments za wadau hapa ikabidi niende huko mjini YouTube kuicheki hio video.... Aisee ile video ni kwikwi
Kinaeleweka ila ni pumba"magodoro tumeloweka maji" nayo ni Kiswahili kisicho eleweka??
Kwikwi maana yake iko vizuriKwikwi maana yake nzuri au mbovu?