Hii vita ya ndugu,hatuwezi kuingilia

Hapo Mnyama hajawahi kupoteza game Tanzania dhidi ya wa Misri. Ushindi mara 5 na droo 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala si kushinda nyumbani, kikubwa ni aggregate na nani anasonga mbele.

Safari ya Kigoma haijalishi umerudia wapi. Iwe Morogoro, Tabora au Uvinza bado hujafika Kigoma mwisho wa reli.
 
Hii ina maana kubwa sana kwa kuwa sasa hivi hatua ya makundi hatuangalii aggregate, muhimu kushinda home then ugenini watafute droo atleast moja kati ya tatu inatosha sana.
Suala si kushinda nyumbani, kikubwa ni aggregate na nani anasonga mbele.

Safari ya Kigoma haijalishi umerudia wapi. Iwe Morogoro, Tabora au Uvinza bado hujafika Kigoma mwisho wa reli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ina maana kubwa sana kwa kuwa sasa hivi hatua ya makundi hatuangalii aggregate, muhimu kushinda home then ugenini watafute droo atleast moja kati ya tatu inatosha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, hao Waarabu koko chapa wote hao pale taifa.
 
Kwenye makundi wanaangalia aggregate au msimamo?
Suala si kushinda nyumbani, kikubwa ni aggregate na nani anasonga mbele.

Safari ya Kigoma haijalishi umerudia wapi. Iwe Morogoro, Tabora au Uvinza bado hujafika Kigoma mwisho wa reli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya Js soura itatupa mwanga, soka lina historia ila historia haichezi.
Simba nguvu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…