Hii wanaume kuweni wapole kidogo

thA goD

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2017
Posts
1,943
Reaction score
1,851
Niaje mabibi na mabwana hopefully y'all doing okay!
Aight let's go...

Mada ni hii kwa wewe mwanamke mlimbwende kabisa ni kitu gani unaangalia kwa mwanaume kwa mara ya kwanza pale anapokutongoza?
Mrembo flani hapa Ofisi nilipomuuliza yeye alijibu hivi "kwanza naangalia muda alonitongoza,kama ni mapema sana let's say asubuh then huyu mwanaume Hana kazi ya kufa anatafuta ajira ya kuchakaza papuchi tu,the a big No toim.
Wanaume hapa msikilize kwa makini wadada wakimwagika maana itakuwa ni first strategy to the winning the battle of approaching.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja niwasaidie; wanaangaliaga maeneo ya mgodini hapo kama kuna mzigo wa maana au mboga yetu bamiaπŸ˜€πŸ˜€
 
wewe umesoma shule moja ya dini kule mwanza olevel!!!
 
Mimi kama KATIBU WA WANAUME, Nasikitika kuona baadhi ya wanaume hadi sahivi hamjui mwanamke anataka nini!....
hainiingii akili mwanamme kabisa usijue mwanamke anachohitaji unless wewe uliyeuliza hili swali ni mtoto Wa kiume na si mwanaume!!
Wanaume Tunasafari ndefu sana kama mambo yenyewe ndo hivi....
 
Mkuu umemaliza kilakitu....
Hii mada ifungwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke anahitaji vitu viwili tu ambavyo ni;

1.Pesa a.k.a chapaa,a.ka. bingo a.k.a mapene a.k.a mkwanja a.k.a mavumba a.k.a maisha

2.Mkuyenge a.k.a libolo fc,a.k.a dyudyu,a.k.a mshipa,a.k.a dawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize mimi ninayewatongoza watu wakati tupo kitandani haijalishi muda nina % ngapi za kukubaliwa na yeye
 
Me naangalia kama ni handsome kwanza yani ni lazima ASA mtoto tukizaa atakuwajeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..then naangalia body language yake ndo nitajua ananipenda au katamani then......ngoja nifupishe maana itakuwa gazeti niruhusu wengine ....napenda wanaume shy yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…