Hii wandugu imekaa vibaya,msaada haraka tutani

Hii wandugu imekaa vibaya,msaada haraka tutani

nictbb

Senior Member
Joined
May 18, 2012
Posts
119
Reaction score
9
Wandugu,kwanza ahsanteni sana kwa ushauri na tiba mbadala,kwa kweli jamii forum iko juu sana,sasa jamani kuna tatizo,kuna shemeji yetu mmoja anahitaji msaada wa hali na mali,tatizo ni kwamba ana maziwa makubwa mpaka mwenyewe yamnyima amani wandugu,hana mtoto hata mmoja,miaka 24 tu aliyonayo,tumsaidieje jamani
 
Hapo pagumu ila vuta subira wachambuz watakuja.kuna dawa kibao za kuongeza naamin vakupunguza zipo
 
Unaposema makubwa unafanya reference kutoka katika kipimo gani?
Yanafika kiunoni?
 
mbona ndio habari yamujini kwa sasa.
sijawahi kuona yanapunguzwa ila yanaongezwa et ya look sex.
tutachomwa wengi kiama jamani........
 
you are chewing more than you can swallow
 
Hajapata wa kuyatumia vizuri huyo shemeji,miaka 24 bado sana,akimapata fundi anaeyajulia hayo atatamani aongeze tena.
 
Wandugu,kwanza ahsanteni sana kwa ushauri na tiba mbadala,kwa kweli jamii forum iko juu sana,sasa jamani kuna tatizo,kuna shemeji yetu mmoja anahitaji msaada wa hali na mali,tatizo ni kwamba ana maziwa makubwa mpaka mwenyewe yamnyima amani wandugu,hana mtoto hata mmoja,miaka 24 tu aliyonayo,tumsaidieje jamani

ongea na wahaya nadhani wana dawa. Kuna ex jirani yetu(mama wa kihaya) binti yake alikuwa na tatizo kama hilo, akapelekwa bukoba, maziwa yakasimamishwa yasikue zaidi, na hayakuongezeka tena.
 
Weka picha ya hayo matiti ili tuweze kujua uhalisia wa tatizo. Sio lazima sura ionekane, wewe weka matiti tu.
 
>Breasts size determined by bodyframe, genes,hormoes,body weight,etc.
..METHODS TO REDUCE..
1>"Breasts reduction surgery"
hii ina side effects nyingi sana.
2>"Natural methods"
Hii inaegemea hasa ktk kufanya mazoezi kwasababu breasts imeundwa na vitu vingi,lakini kikubwa kisababishacho size ni mafuta na unene wa ngozi ya breasts.
>a)"The minimizer bra"
unaweza itafuta kwa google.
>b)"Chest exercise"
hii waweza tunga mwenyewe ilimradi yawezapunguza chest & breasts fats.
>c)"Cardio exicises"
>d)"Exercises to reduce body weight"
b'se breasts size alter with body weight.
>HIZI NJIA NI MAKINI NA MARIDADI SANA KTK KUPUNGUZA BREASTS SIZE.
 
mambo ya shemejio yanakuhusu nini,alafu kabla doctor hajamwona mgonjwa haishauriwi kutibu,weka picha hapa
 
Back
Top Bottom