Timu ya Tanzania katika juma imecheza.michezo ya kirafiki na Timu kubwa za Soka Afrika;Timu ya Alijeria na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Mchezo wa kwanza Stars ikafungwa 4-1 nchini Aljeria na leo 27 Machi Stars ikashinda 2-0 dhidi ya Congo DR.Nawapongeza sana TFF kwa kufanikiwa kuvishawishi vigogo hivi Afrika.Nimachowashauri TFF ni kwamba waandike barua kwa wenzao wa Aljeria na Congo DR kuwashukuru kukubali kucheza na Stars.Timu nyingi kubwa kubwa hiwa hazikubali kucheza kirahisirahisi na timu.ndogo (kwa viwango ya FIFA)