[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], hii kweli labda phase ya chuoni kwake pia ni utotoni.Utotoni umetumia mseto? U must be a kid.
Uliponea chupuchupu na corona,,mbona hujachinja hata ng'ombe ya shukrani utualike tuje kula?😉😉Mimi, mke wangu na familia yetu ya watoto wote saba, hatujambo na tupo wazima wa afya Alhandulillah..[emoji120]
Nyungu tenaItabidi warudishe wiki ya nyungu waongezee na wiki ya kupiga bomba,
[emoji38][emoji38]
SingidaMkoa gani?
Naunga mkono hojaNadhani hii ni kutokana na mabadiriko tunayoenda kuyafanya. October 28 msifanye makosa,chagua Lissu.
Mkuu....Uliponea chupuchupu na corona,,mbona hujachinja hata ng'ombe ya shukrani utualike tuje kula?[emoji6][emoji6]
Tunakiacha kipupwe tunaenda kwenye majira ya joto na mvua za vuli kwa baadhi ya maeneo,kwahiyo lazima kuwe na mabadiliko kwenye miili yetu...Watanzania wengi sana wanaumwa huu mwezi nadhani ni kwa sababu ya hali ya hewa.hakuna mwanafamilia ambaye hajashikwa na mafua, kikohozi, bawasili, UTI, Tumbo, homa, kuongea mwenyewe barabarani, viungo na kutapika
Ni yeye 2020.Naunga mkono hoja
Ulisema ulienda ziara kikazi,dreva wako akaugua corona,na wewe ukawa una challenge za kupumua,,tukakupa ushauri nasaha humu humu,😊😊Mkuu....
Wapi nilisema ninaumwa Corona..??
Lakini pia kama ni almanusura, wapo pia wengi walio bahatika kuepuka vifo kwa ajali pia..
Karibu tujumuike pamoja mkuu kwenye mazoezi tuondoe mafuta na nyama zembeHongera zako tele mkuu
Duh pole aisee lakini sio tatizo la upumuajiAsante, niko okay now but my bibi gone with kikohozi cha only dakika 20 tu juzi[emoji24]
Dahhhh....Ulisema ulienda ziara kikazi,dreva wako akaugua corona,na wewe ukawa una challenge za kupumua,,tukakupa ushauri nasaha humu humu,[emoji4][emoji4]
Mkuu fanya mazoezi hata ya kukimbiasiriaz mi toka juzi nimekuwa na mwili mzito saana..napata ucngiz wa kutisha tisha naona kama mwili sio wangu vilee.sina mafua wala kifua ila ndo hivyoo
Embu acha kunisingizia , kwanza sijawahi kuendeshwa/kuwa na dereva[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dahhhh....
Mkuu, ebu acha kunisingizia.
Kwanza sijawahi kuendeshwa/kuwa na dereva.
Pili hakuna popote humu jf penye nimewahi kuandika kwamba ninaumwa Corona...
Walahi tena mkuu, msema kweli ni mpenzi wa munguEmbu acha kunisingizia , kwanza sijawahi kuendeshwa/kuwa na dereva[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaha,,. Nimecheka sana mkuu inawezekana wewe mshuwa ila washua wengi ukiwa unawapa masifa yao hawayataki kuyapolea [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Walahi tena mkuu, msema kweli ni mpenzi wa mungu
Duhhhh....[emoji848][emoji848][emoji848]Hahahahaha,,. Nimecheka sana mkuu inawezekana wewe mshuwa ila washua wengi ukiwa unawapa masifa yao hawayataki kuyapolea [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]