Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
walahi nikimpata lazima nichimbue 0713
We acha tu.... Maana ni shida sanaa. Tehe. Nakumbuka kuna siku nlikutana na mtoto mmoja hvi sehem sehem flan za burudani huko, mtoto brown alaf softy balaa, huo mzigo huko nyuma sasa utasema hapati choo....nikajikuta naropoka namba yangu ya simu, wakat sijaulizwa chochote. Daaaaah