ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Azan Bank wametoa tangazo hili kwenye Magazeti kuhusu waliokuwa watumishi wa Benki hiyo ambao wameshindwa kulipa mikopo:
Je hii ni halali kisheri kumtangaza mdeni wako kwenye vyombo vya habari ?
Mwananchi la tarehe 1.01.2013
The above are ex-staff of Azania Bank who, when leaving employment, committed themselves in writing to continue servicing their loans but have not done so.
The Bank Therefore demands them to settle their outstanding liabilities within 30 days from the date of this advertisement.
Failure to comply with the above demand, legal action will follow without further notice to them.
In case of any concern please contact
Director of Human Resources and Administration
Azania Bank Ltd.
Je hii ni halali kisheri kumtangaza mdeni wako kwenye vyombo vya habari ?