Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Dogo janja ana pesa?Ana bahati ya kufuata mlio wa hela
[emoji23][emoji23][emoji23],basi sawa sio asema alifata pesaYa mboga nasikia anayo
Sawa Cajojo kangu kadogo[emoji39] [emoji39]Eti cajojo kadogo 😀. Sasa subiri nifanye tena ku dream ntakwambia
Cajojo unaonekana kusimama vema kwenye dini, ngoja nije inboxKwa wakristo hakuna kuolewa mara ngapi. Ni mara moja tuu labda kama kifo kimewatenganisha.
Anakula kwa MadeeYa kula si haba
Keshakuwa huyoAcha tuu ila mimi najiuliza hivi wazazi.huwa wanaridhia??
SheilaKwa hiyo jina lake nani kwa sasa maana kwa upande wetu huku ndoa ni moja tu kwake nao mauzauza
Sahivi yupo kimya, siku akiibuka anaibuka na ndoa yule dada kibokoHahaàa hyo ni sio bahati ni ngekewa
ha ha ha kweli?Kama vile nimeona mahali kaolewa tenaaa ila bwana hajajulikana