Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Ujue sisi ndio tulio badilisha makao makuu ya mkoa wa songwe badala ya kwenda chunya ambako ni pembeni ya mji wakaleta vwawa ambambapo ni sehemu ya katikatiNakusoma sana mkuu
Nimeuliza kwa kukuwa alimsalimia ndugu yanguKhaaaa we ndio Jolie jaman
Zamani dar walikua wanaandika mchele super toka kyela siku hizi wanasema mbeya na huku wanachakachua na wa morogoro
Kyela na Magugu manyara ilikua ni balaa mtaa mzima.una harufu tatizo mbegu wamechakachuaMchele wa Kyela mzuri sana. nakumbuka zamani baba yetu alienda Kyela akaja nao! aiseee yaani ilikuwa mama akipika hadi mitaa ya mbali kabisa wanasikia harufu. Ila sasa isije ikawa hizi mbolea zimeharibu ardhi ya asili na huo mchele haupo tena.
Hapana hakuna uadui nimeuliza hivyo jolie anaelewaNimeuliza kwa kukuwa alimsalimia ndugu yangu
Ili nijue adui wa ndugu yangu ni nani
Nimtahadhalishe mapema
Biashara akiliZamani dar walikua wanaandika mchele super toka kyela siku hizi wanasema mbeya na huku wanachakachua na wa morogoro
Sawa dadakeHapana hakuna uadui nimeuliza hivyo jolie anaelewa
Salama tu Dada JJ nipe habariKaka habari yako