Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ebu muulize akupe jibu atotoKwahiyo mtu anaona bora afe na uanaume wake kuliko atibiwe!!! Aiseeee!!! Saaaaaasa mama naniliu inakuwaje!!
hahahaaaa ishia hpo hpo mkuu...Nilitaka kuuliza swali ila nimekumbuka akaunti yangu inasoma elfu hamsini tu
Nmetabasamu kwa haya maneno [emoji4] yani sipati picha..Nilitaka kuuliza swali ila nimekumbuka akaunti yangu inasoma elfu hamsini tu
Lkn nishajua swali lako kumhusu bwana yuleNilitaka kuuliza swali ila nimekumbuka akaunti yangu inasoma elfu hamsini tu
Kwakweli natamani kumuuliza atuthibitishie hili.Ebu muulize akupe jibu atoto
Ila pia ni ugonjwa wa kihistoria yani unarithishwa...Hii habari imeniskitisha sana na kunishitua kwasabu sikujua kama kuna madhara haya!!!!
Ee mungu tu epushe na huu ugonjwa
Dahh kwahiyo kama kipindi cha nyuma kuna ndugu alishaugua watu mnakaa kwa kusikiliziaIla pia ni ugonjwa wa kihistoria yani unarithishwa...
Unashauliwa ukapime ukifika age ya 45 na km hamna ndugu aliewahi kuugua unashauriwa pia ukapime kuanzia age ya 50Dahh kwahiyo kama kipindi cha nyuma kuna ndugu alishaugua watu mnakaa kwa kusikilizia
Sauwa mkuuUnashauliwa ukapime ukifika age ya 45 na km hamna ndugu aliewahi kuugua unashauriwa pia ukapime kuanzia age ya 50