Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kama Mbeya city mkuu mechi ya kwanza amecheza na Azam Chamazi , game ya pili amecheza na Simba taifa then game ya tatu amecheza na Mtibwa Manungu. Kapoteza game zote hizoTFF hapa wafikiririe tena,hiv kwa mfano Mbao au Ndanda wana mechi Tatu mfulilizo Taifa,hizo siku zote wataishije hapo Daresalamu?
Wataweza kujigaramikia bila kupata chochote from gate collections???
Kama Mbeya city mkuu mechi ya kwanza amecheza na Azam Chamazi , game ya pili amecheza na Simba taifa then game ya tatu amecheza na Mtibwa Manungu. Kapoteza game zote hizo
Anatuharibia mpira huyu MsomaliTFF ya Karia ndio mbovu kuliko zote. Hana mipango na hana watu makini pia.