Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Kuhamishwa wao sio wa kwanza wala hawatakuwa wa mwisho.....
Ujenzi wa mji wa serikali Dom, watu si wamelipwa?
Standard gauge vipi watu hawakuamishwa?
Waliokuwa wanakaa mabondeni hapo dar hawakuamishwa?
Watu wanajitoa ufahamu wakati haya mambo yapo Kila siku na yataendelea kuwepo.
Mleta uzi asichojua ardhi ni Mali ya serikali na Rais ni custodian mkuu wa ardhi.
Kama jambo lina manufaa mapana watu hamna budi kuhama na hawa wamasai watahama tu.