Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
na nyani pia hiii inamana ni kwa wanyama si mwanadamuSIMBA pia huzaa mkuu.
Ni mbwembwe tu za matamshini kujifungua ndugu...mbuzi ndio huzaa
Boksi manyoya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣💺Wengine wanaonga kabisa hawataki kushonwa kipochi manyoya
Hapana kuna watu hawataki shida hizo kama wahindi hizo habari kupush hawataki kabisaWashaharibiwa makalio...
Mhh yani usign kifo au kupona kisa hautaki shida...wangejua kupush ukishatoa mtt na maumivu yanaishia hapo na kila kitu kina rudi as normal as it was...Hapana kuna watu hawataki shida hizo kama wahindi hizo habari kupush hawataki kabisa
Kupush ni nusu ya kifo pia mkuu siyo wote wapo tayariMhh yani usign kifo au kupona kisa hautaki shida...wangejua kupush ukishatoa mtt na maumivu yanaishia hapo na kila kitu kina rudi as normal as it was...
Yah I know lakini ni less risk than OP....Kupush ni nusu ya kifo pia mkuu siyo wote wapo tayari
Kwa hili nakupinga, kujifungua kwa operesheni ni njia salama zaidi kuliko kupush.Mhh yani usign kifo au kupona kisa hautaki shida...wangejua kupush ukishatoa mtt na maumivu yanaishia hapo na kila kitu kina rudi as normal as it was...