Hii ya wasichana wadogo kujifungua kwa upasuaji imekaaje?

Hii ya wasichana wadogo kujifungua kwa upasuaji imekaaje?

Wadada wengi wa sasa ni wavivu na sio mashujaa kama wa kipndi cha nyuma , pia lishe ya sasa ni changamoto kubwa., kiufupi mtindo wa maisha ya sasa ume badilisha mambo mengi sna .
 
Laiti mngejua sababu zinazo pelekea mtu ajifungue kwa C/S msinge jadili huu upumbavu hapa. Achilia mbali wale wanao amua wenyewe wajifungue kwa C/S.
 
Back
Top Bottom